ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Niwatakie sikukuu njema mabibi na mabwana.
Tupo wengi tusiokuwa na tabia ya kutoa zawadi,na hata tukitoa hatutoi zawadi bora.
Zawadi ya thamani kabisa,iletayo baraka maishani mwako ni ile to isiyoambatana na masharti ya aina yoyote ile.
Jamani jamani! Usimpe mtoto wa kike hela ili umfunue sketi yake,hata kama ni gari au nyumba haina maana tena.
Usiache kumpa msaada ndugu yako kwasababu tu unajua hawezi/huwa hakusaidii au kukutetemekea! huo nao ni ubatili mtupu.
Usikose kwenda kumzika ndugu wa mfanyakazi mwenzako,eti kwa kuwa nayeye hakuja msibani kwenu.
Mtendee mema asiyeweza kukutendea,mtetee asiyeweza kujitetea,na Mungu atakutetea wewe.
Usimdharau masikini kwa kuwa anayothamani mbele za Mungu wake!!!!Sasa wewe unayemdharau unani labda?
Zaidi kabisa fikiri kabla ya kusema hata kama usemayo ni kweli.
Tupo wengi tusiokuwa na tabia ya kutoa zawadi,na hata tukitoa hatutoi zawadi bora.
Zawadi ya thamani kabisa,iletayo baraka maishani mwako ni ile to isiyoambatana na masharti ya aina yoyote ile.
Jamani jamani! Usimpe mtoto wa kike hela ili umfunue sketi yake,hata kama ni gari au nyumba haina maana tena.
Usiache kumpa msaada ndugu yako kwasababu tu unajua hawezi/huwa hakusaidii au kukutetemekea! huo nao ni ubatili mtupu.
Usikose kwenda kumzika ndugu wa mfanyakazi mwenzako,eti kwa kuwa nayeye hakuja msibani kwenu.
Mtendee mema asiyeweza kukutendea,mtetee asiyeweza kujitetea,na Mungu atakutetea wewe.
Usimdharau masikini kwa kuwa anayothamani mbele za Mungu wake!!!!Sasa wewe unayemdharau unani labda?
Zaidi kabisa fikiri kabla ya kusema hata kama usemayo ni kweli.