Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu,mama nikimuagizia mara moja moja nikama nimemnunulia Bombadier kabisa......daah tuwakumbuke mama zetu hata kwa kidogo tunachopataKitenge!
Bajeti yako?Zawadi gani inafaa kumpa mama Mzazi wa kitanzania kumshukuru kwa mchango wake mzuri kama mzazi.
Ahsante kwa mchango wako.Kama mama ana nguo nyingi basy mtafutie necklace nzuuuuri ya kimama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama au Baba ni wazazi waliyotosheka Duniani.. Hivo mpe ofa ya Vacation na cash money akatembelee nduguze awaliwaze na kukumbushana utoto wao na maisha waliyopitia.. NOTE:-Atarudisha nguvu na afya yake iliyopotea !!Umri wa mzazi (50's) Salarly Budget : 700,000
Blessings back ndugu! Ahsante wazo zuri sana na la kipekee.Mama au Baba ni wazazi waliyotosheka Duniani.. Hivo mpe ofa ya Vacation na cash money akatembelee nduguze awaliwaze na kukumbushana utoto wao na maisha waliyopitia.. NOTE:-Atarudisha nguvu na afya yake iliyopotea !!
be blessed ndg,
Nakuambia kama ni nguo (vitenge,khanga na sijui nini nknk) wazazi wanazo na ni commonsana washa vichoka!!Blessings back ndugu! Ahsante wazo zuri sana na la kipekee.