Zawadi Kwa Mwafrika

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Wikiendi hii namzawadia Mwafrika mambo ya Chama





 
Hiyo ni Kampeni ya Shuka kwa shuka hiyoooo hahahahahaha
 
  1. Kavaa mkufu kwenye mguu wa kulia tu, humaanisha nini?
  2. Mbona mtumbizaji mwingine ni shemeji? Au ndio chama?
  3. Mkutano umejaa watoto? Nao wamejiandikisha?
 
Tafadhari sana wengine tuna areji na rangi za kijani na njano kwa kpindi hiki cha kuitengeneza Tz mpya!
So its beta ukafind the altenative colour ya kupresent ua feeling
Arooooooooooooooooo!!!! si huo ukoo atupatani, yan aziivi!! Si ni watu wa Mara, kaka yetu ni Zitto na Dingi yetu ni SLAA!!
Umepootea!! km vp uztoe izo pics.
 
  1. Kavaa mkufu kwenye mguu wa kulia tu, humaanisha nini?
  2. Mbona mtumbizaji mwingine ni shemeji? Au ndio chama?
  3. Mkutano umejaa watoto? Nao wamejiandikisha?

Mambo ya kikuku hayo mguuni hivi hujui maana yake? Biashara ni matangazo
 
Jamani mbona huo mkutano umejaa watoto!

ndiyo maana jamaa anahutubia dk saba tu siku hizi kwani wahudhuriaji wake ni watoto, hana cha kudanganya kwani anajua watz wameshamchoka na pia afya yake mgogoro akizidisha hizo saba akiwa amesimama lazima aanguke.
 
Ni kweli kapendeza,sasa na hiyo cheni mguuni ina maana nae yupo katika ile jamii inayotwangwa kotekote au?????

Inawezekana sana si unajua siasa za bongo lazima ukubali hata haramu!
 
Ni kweli kapendeza,sasa na hiyo cheni mguuni ina maana nae yupo katika ile jamii inayotwangwa kotekote au?????
Acha wivu basi,... mpe sifa zake achana na lakini....
 
Unweza kuta anafanya hivyo kwa kuto kujua ni nini maana yake!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…