Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Ndugu Zawadi Mauya kiungo mahiri mkabaji wa Klabu ya Yanga ameteuliwa kujiunga na Kikosi Cha Timu ya Taifa ya Tanzania
Uteuzi huo ulifanywa na Kocha Mkuu Kim Paulsen unaanza leo October 8,2021
Uteuzi huo ulifanywa na Kocha Mkuu Kim Paulsen unaanza leo October 8,2021