Zawadi murua kwa kina Preta, bht FirstLady...

Zawadi murua kwa kina Preta, bht FirstLady...

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
tisha.JPG
 
heeee!!...asante kwa zawadi ila mhhhhh...ninatafarakari nitarudi kwa shukrani zaidi
 
mmmmh ...............asheee tukulu

ila ana hasira, mi huwa naogopa watu wenye hasira kwa kweli!!!
 
huyu jamaa kama unamuweka wall paper ya laptopu ,HASOGEI MTOTO kwenye laptopu hehehehe
 
Naitizama hii picha huku nimekunja sura na kushikilia moyo wangu usichomoke
Akikasirika huyu ndani ya nyumba hakukaliki! anamfaa Nyamayao huyu
 
huyo handsome kabisa hapo akitia wave,miwani mikubwa,cheni ya kimtindo,full unyunyu halafu awe anajilambalamba lips mbona full mauzo!mjini hapa watu kama hao kibao sura jembe ila ndo full kujifoji
 
kitu cha ajabu akiwa na mshiko huyo popote anaingia na kupata huduma zote lol.
 
Hii sura kama ya MWANAPORO WA MADINI

jamani, mtu mwenyewe si mnaona amevaa sare ya prison jamani, na inaelekea hapo alikuwa amepangwa kwenye mstari wa examination parade kutambua mtu aliyefanya kosa......he looks criminal.
 
nakwambia huyu jamaa hata ukimpiga ngumi nyingiii za usoni hata haumiii, duh, mbona kama jiwe?
 
huyu kaumbwa na MUNGU ama ndio mambo ya udongo utatoka udongo utarudi??
fl1 upo
 
Back
Top Bottom