Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudo man.....vitu VI.etulia mbaya!
Mama1 mupya ni balaaaa! Sio underage alipoolewa kweli?
haha haha, mama mbavu zanguuuuwaoneeni huruma hao, ni watoto masikini wenye njaa hapo wameahidiwa vipesa vidogo tu vya kununua viatu vya mtumba pale ubungo mida ya jioni..
nawaona bunch of loosers,,,,Nyie wasee mko wapi? Mmekuwa kimya hadi inatisha?!
Hii ni zawadi yenu toka kwenye mini-fiesta inayoendelea Tanzania kote:
![]()
Steve Dii naona macho yako umeelekeza 1100. NN nakuona macho yako yakiwa 1300 and 1100 and 1500
haya ndiyo mambo yatakayokua tar 31 october 2010......ha ha ha,
Ngoja nimtafutie nyingine toka maktaba:
![]()
MS kafumbua macho, ila ameyaelekeza 0500 ..... jaza mwenyewe
haya ndiyo mambo yatakayokua tar 31 october 2010......