Zawadi nzuri ya kitenge naitambuaje

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Akina dada mtakuwa na majibu sawia. Nataka kumpa mtu zawad ya kitenge kizur na cha class A. Akashone nguo. Sijui nakitambuaje au nakipataje kitenge kizur sana dar. Sina mgogoro wa bei bali utambuz wa hadhi. Na km unajua mishono ya kisasa (kwa mwanamke mwenye tako) nirushie ka picha. Thanks in advance.
 
Wauza vitenge watakusaidia kuchagua kizuri tu. Wape maelekezo hayo

Ukimzawadia mwanamke kitenge muachie shughuli ya kuchagua mshono aupendao,kumchagulia utaonekana unajimwambafai(atakichukia kitenge chako)
 
Nenda mnazi mmoja pale kituo cha mwisho cha daladala nadhani, kwa pembeni kuna frame zinauza vitenge, vikoi, khanga, nguo ambazo ziko tayari (za kudariziwa na zinginezo) tena pale wanauza jumla kwahiyo utapata kizuri kwa bei nafuu
 
Hiki kizuri sana ,, vina hadhii hakika vinakufaa.
ni pm mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna dada ametoa picha za bidhaa vinavutia sana chakujiuliza je hiyo mtu anapenda rangi gani na je anapenda nguo zenye maua maua.....

Muombe picha zake kama 10 utaona alizovaa vitenge na mshono anaopenda so ukinunua kizuri mimi kwa upande wangu ningemtafuta fundi mkali sana na kumuonesha picha ya mhusika na nguo moja sample, amshonee nguo moja nzuri sana....ili iwe suprise nzuri iliyokamilika... Japo hata wazo hilo ni zuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama mmemuelewa mtoa mada. Mtoa mada hataki kitenge ilimradi, anataka cheche hadhi angalau bei kuanzia elfu 80 plus.
Sasa naona watu wanakuja na vitenge vya mnazi mmoja vya elfu 30.

Njoo na kitenge kikali ikiwezekana sema ni brand gani, ni cha nigeria au kongo au ni hapahapa TZ sema kwann kina hadhi gani kuliko vingine.

Hii situaamtuon ya mtoa mada ishawahi nikuta.
 
Hazchem plate,

Hapo hapo mnazi unapopadharau vipo vitenge vya quality mbalimbali ni pesa yako tu

Na unaweza kununua cha 80+ ukapigwa[emoji16][emoji16]
 
Nenda mnazi mmoja pale kituo cha mwisho cha daladala nadhani, kwa pembeni kuna frame zinauza vitenge, vikoi, khanga, nguo ambazo ziko tayari (za kudariziwa na zinginezo) tena pale wanauza jumla kwahiyo utapata kizuri kwa bei nafuu
Umenisaidia na mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…