Hazchem plate,
Hapo hapo mnazi unapopadharau vipo vitenge vya quality mbalimbali ni pesa yako tu
Na unaweza kununua cha 80+ ukapigwa[emoji16][emoji16]
Wanaoshea asali [emoji16][emoji16][emoji16]Wenzetu wanaoshea nini nanihiii zao jamani hadi wanapata kujaliwa kiasi hiki!!!!
watoto weupee
ππππππππ
Umesahau kuweka rangi ya mnunuliwaji. Sio kila rangi ya kitenge ni kwa ajili ya kila mwanamke.Akina dada mtakuwa na majibu sawia. Nataka kumpa mtu zawad ya kitenge kizur na cha class A. Akashone nguo. Sijui nakitambuaje au nakipataje kitenge kizur sana dar. Sina mgogoro wa bei bali utambuz wa hadhi. Na km unajua mishono ya kisasa (kwa mwanamke mwenye tako) nirushie ka picha. Thanks in advance.
Itakuwa wanatumia JIK. Dawa ya moto ni moto, ukiona huletewi zawadi jipe mwenyewe zawadi.Wenzetu wanaoshea nini nanihiii zao jamani hadi wanapata kujaliwa kiasi hiki!!!!
ππππππππππππππππππππItakuwa wanatumia JIK. Dawa ya moto ni moto, ukiona huletewi zawadi jipe mwenyewe zawadi.