Nina uhakika hakuna mtz atakujibu hili swali, watu wanapenda kufungua domo tu ila hawana loloteKabla ya MO walikuwa wanalipwaje?
Watu wamekaa sebleni kwa shemeji zao wanalalamika zawadi, waje watoe wao tuoneAndaa mapambano yako uwe unatoa ndege .
Kwahiyo angepewa dala 2500 ungeona ni sahihiHivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Nchi Ina majitu majinga Sana hii mkuuNina uhakika hakuna mtz atakujibu hili swali, watu wanapenda kufungua domo tu ila hawana lolote
Kama kwenye Hamna ,hata ukipata zawadi ya shingoo,chukuaaa.Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Mudi huwa ni Mzee wa fixshingoYale yale ya bil 20 !
Bora ukutane na Mohamed lakini Mud na Mwamed ,ni hatari na nusuKwa hiyo ulitaka akanunue kabisa kwa mwingine sh. milioni 8 sio?
Hivi Mo foundation imekaa sehemu Gani ukivaa jezi ya Makolo?Chuki za kitopolo zimejumlishwa humu
😀😃😄Tulia wewe,
Kama una Ford ranger mpe uwaridhishe watanzania
Hakuna ujanja ni jinga hiloHapo Ni Tangazo tuu la biashara tuu mshiko wake kashachukua...Mo ana promote bajaji zake ni kama alivyowapa wachezaji pikipiki Mo mjanja
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Umemjibu vzr Sana huyu kijana ..sas kwani alikuwa nayo hyo bajija Tena alishangiliaa snaTulia wewe,
Kama una Ford ranger mpe uwaridhishe watanzania
Ndio jins ilivyoMo ni sungura, katoa bajaji ambayo thamani ni milioni 8, lakini kwake thamani si hiyo yeye kwa beinza jumla usikute anachukua kwa milioni 4-5 kama wakala.
Nafikiri kabla ya pambano alifahamu fika akishinda atapewa zawadi gani.Hivi ni kweli kwamba pamoja na maandalizi yote ya pambano la ndondi dhidi ya Mmexico , Ibra tuzo aliyostahili ni Bajaji ?
Hivi ndivyo wenzetu Duniani wanavyofanya au mimi ndio sielewi ?
Nami nimeuliza swali hilo...je Mmexico alifahamu kuwa anakuja kushindania bajaji?sasa ndio apewe bajaj kweli?
Hivi yule mmexico angeshinda angepewa hiyo bajaj?
Bora wasingetangaza hiyo zawadi, zawadi zao ziwe siri yao wote .
Naamini hakuna angelalamika maana kama ngumi, zimepiganwa kiuweledi na kwa kusisimua