Zawadi yangu kwenu katika kuazimisha siku ya wanawake

Mama funguaa hivyo vifuko kilaa mtu anavyo mdani acha kuturusha roho wenzio lol
Khakhakhakhakhaaaaaaaaaaa
Nacheka kwa dharaaaaaaauuuuuuuuuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ati kuturusha roho.. Mara kutamani [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji12] [emoji12]
Tihtihtihtihi..... Mmeshinda wakuu. [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]


Cc Smart911
 
Yani umeongea kihekima na busara leo mpaka nimefurahiiii. [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]


Asante sana mwaya I do appreciate [emoji120]

Cc Smart911
 
woooww wooowww ..tuko pamoja big fish
Big fish teinaaaaa lol !!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wacha nami nikasake hela ya mboga mboga hata za majani tu


Cc Smart911
 
View attachment 708540
Hahahahaha sio kosa lako yaliyomo yamo ndomana umekuja kivingine lol...
Sina la kaongeza nakula mema ya smartiiiiiiiiiiiii tu nipe hongera [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mimi ni Mgeni Sawa ila nina kosa gani kutoa maoni yangu! Jiamini mama nadhani maono yangu yana ukweli ndiyo maana umekwazika!
 
Big fish teinaaaaa lol !!![emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wacha nami nikasake hela ya mboga mboga hata za majani tu


Cc Smart911
hahaaaa kwani leo smart hakuletei PIZA...???


au waogopa ukisema kuwa utaletewa hiyo kitu binaadamu watakufungulia thread
 
Uyo mtu hata sielewi mara anambie nimekua omba omba ilimradi tafrani ndio nikamuuliza kama kuna mahaki nimemkera labda

Na sponser kapoteleaa wap au ndo anatufundisha kuwa wavumilivu??
 
Hizo zawadi zingetoka ingekuwa kaandika 'Kuadhimisha' na sio kuazimisha yenye maana kuwa anawaazima, kwahiyo muwe tayar kumuazima buku bee kila mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizo zawadi zingetoka ingekuwa kaandika 'Kuadhimisha' na sio kuazimisha yenye maana kuwa anawaazima, kwahiyo muwe tayar kumuazima buku bee kila mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Genius 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…