HahahahaWanaume wabaya sana si walimvimbisha kitovu kikawa ze ndindindi
Rah p yuko USA mcheki YouTube ,alipata majanga sijui kama amesha recover,alikuwa talented huyu mdadaIlisaidia gemu kuchangamka lakin, kama walipigwa kwenye maslahi hilo ni jambo jingine
Mimi nilikuwa shabiki wa Rah P, sjui alienda wap yule.
Ngoja nimchekiRap yuko USA mcheki YouTube ,alipata majanga sijui kama amesha recover
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]Hahahaha
Wanaume wazee wa shughuli kipindi hiko nilikuwa na jua yuko na 'the end mwa mcotton' (yaani mwisho mwampamba).
Sasa hao kina sister P inamaana nao hawakufaidi kazi zao!!? Au walifulia tu kama mr nice
nature aliimba Salio la verse katika kichwa chake ni dollar bilioni kumbe ndo maana bdo yupo yupo.atakua kabakiza buku saiviZay b alitamba na hii
Zay B sasa yuko gado mashairi yamejaa kisado... (kumbe ndio maana alipotea! Mashairi ya kwenye kisado si chochote kwenye game)
Sister P alivuma na hii
Anakuja...Anakuja....Sister P Anakuja (Ana haki ya kupotea... tendo la kuja ni la sekunde)
Bongo bana unaweza kutengenezewa uadui na wengine nawe ukaufanya halisi mpaka kufikia hatua ya kumchukia mtu kweli kwa kweli
Hawa mabinti wawili walichonganishwa mbaya na media uchwara..hivi Leo hii wakiwa wamepotea kwenye anga za kuvuma na wakiwa wakubwa wanaojitambua hahawazi na kujuta kwa kuchonganishwa kwa malachi ya wengine?
No Zay B na Sister P
[emoji28][emoji28][emoji28]Zay b alitamba na hii
Zay B sasa yuko gado mashairi yamejaa kisado... (kumbe ndio maana alipotea! Mashairi ya kwenye kisado si chochote kwenye game)
Sister P alivuma na hii
Anakuja...Anakuja....Sister P Anakuja (Ana haki ya kupotea... tendo la kuja ni la sekunde)
Alienda kusoma,kufika kule kaolewa na jamaa aliye m-promise kumsomesha,kumbe mshikaji anjihusisha na drugs,mshikaji kala nyundo za kutosha rah P akabaki ana hange na watoto mtaani,baade Rah P mwenyewe aliwekwa ndani kwa kuwa addicts wa pombe,in short maisha Yake yalikosa ramani,.na kipaji chake alienda kukifukia huko,but kuna mda aliachia ngoma na alfa yule mshindi wa tusker project fame nyimbo inaitwa African queenMpododo ni habari ingine kabisa hasa ukiambatana na hizi[emoji386] [emoji387] [emoji389] [emoji384] [emoji385] [emoji383]
ha haha mtani hapana nilikuwa old tayariUlikuwa bado new brand [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sad story nakumbuka kuisoma pahala dunia haina huruma ila pia ni funzo kwa wale wapendao makuuAlienda kusoma,kufika kule kaolewa na jamaa aliye m-promise kumsomesha,kumbe mshikaji anjihusisha na drugs,mshikaji kala nyundo za kutosha rah P akabaki ana hange na watoto mtaani,baade Rah P mwenyewe aliwekwa ndani kwa kuwa addicts wa pombe,in short maisha Yake yalikosa ramani,.na kipaji chake alienda kukifukia huko,but kuna mda aliachia ngoma na alfa yule mshindi wa tusker project fame nyimbo unaitwa African queen