G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Nenda DSTV si wanaonesha hizi mechi za CAFSiyo kwenye uchambuzi bali utangazaji wa mpira, watangazaji wake wamepoa sana, hawajachangamka, hawana yale maneno tuliyozoea ya kuvutia, hata goli likifungwa, inaboa kusikiliza linavyotangazwa, kwa kweli hapa Azam huwa mnatuboa sana kwa hawa watangazaji wa ZBC.
Mimi mwenyewe kidhungu sijuiNunua startimes utaangalia kwakidhungu kupitia startimes world football Kwa ubora wa HD
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dugu moja haoHivi Azam wao hawawezi kurusha matangazo ya game ya Leo? Naona wanachukua matangazo Toka kwa ZBC2
Unataka kuangalia mpira au kidhungu. Majina Yale Yale wewe angalia boli Kwa ubora wajuuMimi mwenyewe kidhungu sijui
Wapi nimeongelea wachumbuzi Fala wewe! naongelea wanaotangaza mpira, utakuwa Huna akili timamu kma utangazaji wao utaulinganisha na akina MpenjaSio kwamba Azam wanachukua matangazo kwa ZBC bali ofisi za ZBC zipo ndani mule makao makuu ya Azam na hata wale watangazaji ni waajiliwa Wa Azam so matangazo yote yanayorushwa ZBC yanazalishwa na Azam kupitia jina la ZBC. Na kuhusu wachambuzi kutokua na radha hilo ni wazo lako tu kwani haiwezekani kila siku umsikie mpenja pekeake lazima na wengine wapewe nafasi.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Gharama mechi za ngazi ya vilabu na timu za Taifa kwa nchi husika gharama ni sawa na bure tuu hata TBC wangeweza kuonyesha sasa ZBC ni channel ya Zanzibar ambao kwa CAF ngazi ya vilabu ni mwanachama kwaio kupitia ZBC ni kitongaHivi Azam wao hawawezi kurusha matangazo ya game ya Leo? Naona wanachukua matangazo Toka kwa ZBC2
Sawa lakini matusi hayasaidii unaweza ukamuona mpenja ni mtangazaji bora ya mpira lakini wengine wakamuona hafai so uzuri au ubaya wa mtu inatokana na taswira au mtazamo wa mtu mwenyewe kwahiyo kulialia unamtaka mpenja subiri gemu za bongo ila unachokitaka kwamba kila siku uwasikie watangazaji wanaofanana na mpenja tu haiwezekani kwani kilamtu anaradha yake.Wapi nimeongelea wachumbuzi Fala wewe! naongelea wanaotangaza mpira, utakuwa Huna akili timamu kma utangazaji wao utaulinganisha na akina Mpenja