ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

Kuna mambo huwezi kuyabadilisha sasa sehemu 98% no waislamu unategemea nini? Waweke kwaya? Ule ni utamaduni wa watu wa zanzibar na lazima uheshimiwe, ramadhani inakuja utaratibu wetu ni ule ule bakora tu kwa makobe
Dini ya kulazimishanaπŸ˜†πŸ˜†
 
Hiyo itabaki kuwa ni nadharia tu. SMZ ndio mmiliki wa ZBC na ndio walioamua kufanya hivyo.....Zanzibar is just a sovereign country.
kama zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haifai ZBC kujaza maudhui ya kiislam kwa wingi katika vipindi vyake wakati ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya kiislam
 
Yaani umeleta uzi huku unataka majibu yanayokufurahisha tu?
Dini ya Kiislam ni utamaduni wa watu wa Zanzibar, na si jambo la Muungano. Tuliza shono bro.....tuweni na religious tolerance. Kinachokukera ni nini?
Ndio maana ata wasomi kwenu wachacche
 
Utamaduni Wa Wazanzibar Ni Uislam
Utamaduni Wa Tanganyika Ni Wa Kikafir Ingawa Sehemu Zote Hizo Zinakaliwa Na Watu Mchanganyiko
Ni Sawa Na Dar Es Salaam Ni Mji Wa Waislam Kabla Ya Uhuru Na Baada Ya Uhuru
Sawa Na Moshi Kilimanjaro Ni Mji Wa Wakristo Kama Ruvuma Ni Mkoa Wa Wa Wakristo Tofauti Na Mtwara Ni Mji Wa Waislam Ila Hivyo Vyote Havizui Watu Wa Dini Tofauti Kuishi.
 
ZBC inamilikiwa na serikali ya Zanzibar,na Zanzibar 99% ni waislam.
Kwenye jamii za kiislam kitu Cha kwanza ni kujali waislam wenzako,na hapa ndio unaona Nyerere alisoma hadi chuo kikuuu ila kwenye hati ya muungano alisaini kua,Mali za Tanganyika zitakua za Zanzibar piaπŸ˜πŸ˜€πŸ˜†,.........Ila Karume aligoma huo UFALA kulinda maslahi mapana ya Zanzibar.
Imagine Leo hii Zanzibar ingukua imejaa parokia halafu sadaka chache zinazokusanywa ziende kuliwa Bata na wajanja pale Vatican,........πŸ˜πŸ˜€πŸ˜†
 
Kwan zanzibar ni nchi nyingine?
1.wewe ni msomi?,
2.Tena msomi wa kikristo munaoongoza kupata division one kuliko waislam?πŸ˜€πŸ˜
3.Hajui kia Zanzibar ni nchi,nenda kununua kiwanja kuleπŸ˜†
4.Kipindi Nyerere ana elimu ya chuo kikuu na kujisifu yeye ni msomi,Karume asiyejua kusoma Wala kuandika anasaini hati ya muungano,kua Zanzibar mali zake ni za Zanzibar,ila Mali za Bara ni Zanzibar piaπŸ˜†
5.haujui kua Zanzibar inamiliki ardhi huku kwa wasomi uchwara
 
Ila nasikia ata kwenye ajira ni ngumu sana mkristo kupata au mtu anaetokea musoma kupata ajira pale
Yaani raia wa Saudi Arabia asiwe na ajira/asinufaike na mafuta ya nchi kwake aje anufaike raia wa ufaransa?πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜€
1.Huo si ufala huo,...........Kitu Cha kwanza kwenye uislam ni Mali za waislam ziwanufaishe waislam kwanza
2.Zanzibar sio D.R.C,ama Geita kua migodi imezunguka makazi ya watu wasiojua wanakula niniπŸ˜†πŸ˜…
3.Au Parokia zimezunguka makazi ya watu nyumba za nyasi,wanapeleka sadaka ziende kuliwa VaticanπŸ˜πŸ˜ƒ
4.Uislam unahimiza kujipendelea miongonk mwa walio waislam
 
kama zanzibar ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania haifai ZBC kujaza maudhui ya kiislam kwa wingi katika vipindi vyake wakati ni nchi isiyoongozwa kwa misingi ya kiislam
1.Karume hakua fala kusaini hati ya muungano na msomi wa Makerere NyerereπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†πŸ˜†
2Alijua tu huu us.enge ungetokea,...........mgodi umezunguka Kijiji hakina umeme,Wala maji,mabilioni yanatoka hapo yanapelekwa Canada,............
3.Karume alikua mbele ya muda,alijua nchi ikiwa Moja ,Kuna dini zitajaa zianze kuwauzia mafuta WAPUMBAVUπŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†,Ama zikusanye sadaka zikaliwe na wajanja kule vatican
 
Mwislam kafiri na shoga hupenda tusi la kafiri
 
Hao jamaa wangeachiwa tu nchi yao, wanaishi kigumu sana kufuatana na matakwa ya Tanganyika ila deepdown wengi wao hawapendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…