Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
TBC na TFF wameingia makubaliano yenye thamani ya Tshs 3.5bilioni ambapo TBC watakuwa na haki xa kutangaza mpira wa ligi kuu kwa upande wa Redio.
Makubaliano hayo yatakuwa no kwa miaaka 10 ambapo hakuna radio yoyote itakayo ruhusiwa kurusha matangazo hayo mpaka wapate kibali toka TBC.
Una maoni gani kwa deal hili?
Mods please naomba mbadilishe title isomeke TBC na sio ZBC
Makubaliano hayo yatakuwa no kwa miaaka 10 ambapo hakuna radio yoyote itakayo ruhusiwa kurusha matangazo hayo mpaka wapate kibali toka TBC.
Una maoni gani kwa deal hili?
Mods please naomba mbadilishe title isomeke TBC na sio ZBC