Ndiyo tatizo wanaposhindwa hoja wanatumia kejeli, badala ya kushambulia hoja wanashambulia mtoa hoja..! Na ni kweli mtu akikuambia hiyo glasi uliyoshika ina sumu ya kuua, wewe badala ya kuitupa glasi unamuangalia na kusema.. "mbona una viraka, na mbona ulimuacha mke wako!" wapi na wapi?[/QUOTE]
good point ! hapa nakupa 100% ! sasa swali mkuu, na je ni kwa nini mnawashambulia ze comedy personally na sio hoja zao ? au sio watu wa kuongea mambo ya politics ? msiattack ze comedy bali hoja zao,SASA KWAKUTUMIA MFANO WAKO, LEO HII ZE COMEDY WASHASEMA DR. SLAA ALIKULA HELA ZA VILEMA, NA HAPO HAPO WATU WANAANZA KUDHARAU TU JUST BECAUSE WAO NI WAZEE WA ZE COMEDY, JAMAA CHOKA MBAYA ! kama huyo aliyevaa nguo iliyochanika katika mfano wako ! na kuna mtu kauliza kama slaa alikuwa sijui mtunzaji fedha zao, hilo hatujui maana viongozi wengi wakiona sehemu fulani alinuka haweki hiyo kwenye CV yake !
Ukishutumu Ze Comedy umeshutumu dhana potofu waliyokumbatia. Kwa taarifa yako, Ze Comedy sio mtu.
Walioshika glasi yenye sumu ni Watanzania, wakiwemo hao Ze Comedy. Glasi yenyewe ni CCM, na sumu ndani ya glasi ni viongozi wa CCM. Tusipoitupa hiyo glasi, basi sumu yake inaweza ikatatufisha. Get it?
HII IKAE KWENYE SIASA INGAWA ZE COMEDY NI BURUDANI
Jana Masanja amemkandamiza LIVE Dr Slaa kwa kuigiza:
Dr Slaa alifukuzwa upadri kwa sababu ya kutembea na mwanamke.
Dr Slaa alifukuzwa upadri kwa sababu ya kula fedha za walemavu.
Dr Slaa anapaswa kuondoa kwanza boriti yake ya ufisadi kabla ya kutazama wengine.
Dr Slaa ametunga orodha ya mafisadi sio ya kweli kabisa.
Dr Slaa aliwahonga waandishi wa habari ili wasiandike ukweli kuhusu kufukuzwa kwake upadri sababu ya mwanamke na kula fedha za walemavu.
Masanja aliyakandamiza haya yote kama vile ni ukweli mtupu.
KIPIMA BARIDI: Je, Ze Comedy walikuwa sahihi?
Jinsi ya kushiriki kipima baridi, mpigie simu Meneja wa Ze Comedy Bwana Sekione Kitojo(Seki) kupitia 0787513633 kutoa jibu lako ama changia hoja yako hapa JF na kama unataka ujumbe umfikie mmiliki wa EATV bwana Reginald Mengi nitumie ujumbe kwenye ashabdala@yahoo.com
Asha
Asha
Bora mmesema nyieHII IKAE KWENYE SIASA INGAWA ZE COMEDY NI BURUDANI
Jana Masanja amemkandamiza LIVE Dr Slaa kwa kuigiza:
Dr Slaa alifukuzwa upadri kwa sababu ya kutembea na mwanamke.
Dr Slaa alifukuzwa upadri kwa sababu ya kula fedha za walemavu.
Dr Slaa anapaswa kuondoa kwanza boriti yake ya ufisadi kabla ya kutazama wengine.
Dr Slaa ametunga orodha ya mafisadi sio ya kweli kabisa.
Dr Slaa aliwahonga waandishi wa habari ili wasiandike ukweli kuhusu kufukuzwa kwake upadri sababu ya mwanamke na kula fedha za walemavu.
Hold on a minute father Slaa, basi hata pesa za vilema?
Dr Slaa ametunga orodha ya mafisadi sio ya kweli kabisa.
Asha
Acheni kukuna vichwa na wajinga wale kwani njaa haina adabu, ili wapate kula ni lazima chochote wapewe, sasa kuna hasara gani kwa mafisadi kuwalipa ili kukwepesha mambo hadharani?😕Sasa Serikali inachunguza nini pale BOT? Au na Ze comedy hawajasoma ripoti ya Slaa
lakini kama utaangalia vizuri ni kwamba 99% ya hoja zoooote hapa JF zimelean upande mmoja ambao ni serikali/ccm,(kitu ambacho sio kibaya ) lakini pia tuangalie long term benefits kwa taifa letu, leo ccm kesho wapinzani, kabla hatujawachagua viongozi wapinzani kushika madaraka ni vizuri tukajua kama wamekula pesa za walemavu au la, na wao pia wajibu haya mambo, la sivyo wasipojibu na wakichaguliwa ni tutakuwa tumefanya KAZI BURE, kuchagua wale wale tunaowapinga waliopo madarakani ! leo wamekula pesa za walemavu kesho za walalahoi na za wagonjwa pia ! mwizi haibi mara moja akiiba mara moja basi huyo mdokozi !
Dr. Bunduki itafaa kama akijibu hayo waliyosema ze comedy bana otherwise naye ananuka wizi tu kama hao anaowapigia kelele aka kama anayowaita wahujumu uchumi huku yeye kala pesa za walemavu * i will say kala pesa za walemavu as long as he doesnt answer these accusations*
asanteni !