Zelenskiy: Tumeshapoteza wanajeshi wetu 3000 wa Ukraine vita dhidi ya Urusi

Zelenskiy: Tumeshapoteza wanajeshi wetu 3000 wa Ukraine vita dhidi ya Urusi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.

Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.

Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.

Chanzo: DPA
 
... ingekuwa kule Iran wangeshapewa hadhi kubwa zaidi wanayopewa waliotangulia mbele ya haki yaani matyrs! Wapumzike kwa amani baada ya kazi kubwa ya kuitetea nchi na utaifa wao.
 
Si mmesema Russia anachapika? Propaganda za kijinga sana. Mara eti Russia imepoteza nearly 15,000 soldiers....daaaaah
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.

Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.

Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.

Chanzo: DPA
 
Si mmesema Russia anachapika? Propaganda za kijinga sana. Mara eti Russia imepoteza nearly 15,000 soldiers....daaaaah
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
 
Kama ushabiki wa Simba na Yanga
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Hizo takwimu sio sahihi Idadi iko juu zaidi iwe kwa upande wa Russia au Ukraine.
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Hivi zile silaha anazopewa Ukraine ni za manegani tu?Ant aircraft missiles,fighter jets nk ni silaha za mabegani?
 
Zelensiky kaongeza idadi sana ili asiwafedheheshe mabeberu wa USA na EU wanaoeneza propaganda kuwa zaidi ya Askari 15, 000/= wa RUSSIA wameshakufa kwenye hiyo vita.

Putin tuko pa1 we peleka tu moto kimya kimya ukiyaacha Kunya Land yaendelee kupumbazwa na propaganda zao za western countries na USA.
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Amepoteza Ulikuwa Unawahesabu!
yaani Nchi 30+ Dhidi ya Mrusi na Bado Rais wenu Anaishi Kazungukwa Na Mifuko Ya Mchanga Kila Kona
 
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.

Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.

Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.

Chanzo: DPA
Tunataarifa Russia ishapoteza karibu wanajeshi 20,000., Keep going ... naamini hii vita Ukraine itashinda tu,
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Mkuu Putini ni kiongozi muongo sana na zile taariza Russia kupoteza wanajesh 3000 alisema uongo sana wakati anatamka wanajeshi 3000 Urusi ilishaoteza wanajeshi 16,000
 
Rais Zelensky ni mzushi, Ukraine soldiers hawajafa hata mmoja, urusi alikurupuka hii vita. Ukraine mpaka sasa ni washindi hakuna jimbo hata moja lipo chini ya mrusi, wanajeshi wa urusi wamerudishwa kwao. Vita inapiganiwa Moscow saizi.
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Russia ongeza 500 waliozama na moskva
 
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Kiufupi, inaonekana udhaifu wa urusi,
 
Tulishasema wanaokufa ni watu sio mbuzi ipo siku Ukraine utakuja kukiri ilipoteza wanajeshi zaidi ya laki 2
 
Back
Top Bottom