Zelenskiy: Tumeshapoteza wanajeshi wetu 3000 wa Ukraine vita dhidi ya Urusi

Zelenskiy: Tumeshapoteza wanajeshi wetu 3000 wa Ukraine vita dhidi ya Urusi

Si mmesema Russia anachapika? Propaganda za kijinga sana. Mara eti Russia imepoteza nearly 15,000 soldiers....daaaaah
Hapo watu wazima tumeelewa unaongeza sifur wanakua 30,000 watu mnachukulia poah ila wameded watu aisee
 
Hivi zile silaha anazopewa Ukraine ni za manegani tu?Ant aircraft missiles,fighter jets nk ni silaha za mabegani?
Wakati Mimi naongelea Kitu ambacho ninataarifa nacho badala yake wewe unabumba TU.

Embu tuambie Siraha alizopewa Ukraine ambazo Ni kubwa zaidi ya zile za kubabwa Begani Kama STINGER MISSILES(Hizi zinalipua Low Flying Aircraft Kama Helicopter s tu,haziwezi kulipua High Altitude Flying Kama Fighter Jets),JAVERINE MISSILES(Hizi Ni Ant-Tank Missiles ambazo zinabebwa Begani,Zina Uzito wa 30Kg TU). Slovakia alipeleka Mifumo 2 TU ya S-300. Ujeruman alipeleka MASHINE GUNS ZA 50Cal za Kushambulia askali wa Miguu. Zaidi ya Hizo Siraha,Hakuna Siraha kubwa iliyopelekwa Nchini Ukraine.

1.Poland aliombwa ndege za Mig-29 lakini akala U-Turn,Ukraine akabaki Solemba.

2.Israel aliombwa Iron Dome na Ukraine ili azitungue ndege za Urusi lakini Israel akala U-Turn,Ukraine ikabaki peke yake.

3.Ujeruman aliombwa AEGS Air Defence System ili Ukraine azitungue Fighter Jets za Urusi ambazo zinashusha Maghorofa lakini Ujeruman akala U-Turn.

Kiufupi TU Ni kwamba,Ukraine ana Molale ya Kupigana lakini Hana Siraha. Ndio maana Miji mingi imesambaratika kwasababu Hana Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Uhakika zaidi ya S-300 ambazo zimetengenezwa na hao hao Urusi kwahiyo Ni Rahisi hata Kuzi-JAM.

Kama Ukraine angelikuwa na Mifumo ya Ulinzi wa Anga Imara Kama IRON DOME,DAVID SLING,PAC-3,AIEGS,Patriot basi hayo Magorofa unayoyaona yameangusha hivi Sasa yangelikuwa yamesimama. Urusi isingethubutu kupeleka FIGHTER JETS kwenye Anga la Ukraine,Zaidi zaidi zingelipelekwa Drones TU kwa wingi ambazo haziwezi kubeba LARGE PAYLOAD.

Baada ya Vita vya Ukraine,Mataifa mengi yatapeleka Wanajeshi wao kujifunza jinsi ya Kutumia Siraha kwenye Mataifa Makubwa. Hii Ni kwasababu,Mpaka sasa Marekani anashindwa kuwapa Ukraine Siraha kubwa kwasababu hawawezi kuzitumia. Mfano Ni HAWITZER CANNON MISSILES. Hizi Ni Aina ya Makombora yaliyoboreshwa yenye Uwezo wa kupiga 100Km. Mpaka sasa Ukraine inatumia HOME MADE ANTI-SHIP MISSILES Aina ya NEPTUNE ambazo Range yake Ni Ndogo Sana (Only 15Km). Kwahiyo Russia anatumia LONG RANGE ARTERARY kupiga Ndani ya Ukraine na Ukraine hawezi kuzishambulia kwasababu Hana LONG RANGE MISSILES. Lakini Kama angelipata HAWITZER CANNON nadhani Mambo yangelibadilika Sana.
 
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.

Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.

Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.

Chanzo: DPA
Uongo ...Soma hapo chini[emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums1336140654.jpg
 
Wakati Mimi naongelea Kitu ambacho ninataarifa nacho badala yake wewe unabumba TU.

Embu tuambie Siraha alizopewa Ukraine ambazo Ni kubwa zaidi ya zile za kubabwa Begani Kama STINGER MISSILES(Hizi zinalipua Low Flying Aircraft Kama Helicopter s tu,haziwezi kulipua High Altitude Flying Kama Fighter Jets),JAVERINE MISSILES(Hizi Ni Ant-Tank Missiles ambazo zinabebwa Begani,Zina Uzito wa 30Kg TU). Slovakia alipeleka Mifumo 2 TU ya S-300. Ujeruman alipeleka MASHINE GUNS ZA 50Cal za Kushambulia askali wa Miguu. Zaidi ya Hizo Siraha,Hakuna Siraha kubwa iliyopelekwa Nchini Ukraine.

1.Poland aliombwa ndege za Mig-29 lakini akala U-Turn,Ukraine akabaki Solemba.

2.Israel aliombwa Iron Dome na Ukraine ili azitungue ndege za Urusi lakini Israel akala U-Turn,Ukraine ikabaki peke yake.

3.Ujeruman aliombwa AEGS Air Defence System ili Ukraine azitungue Fighter Jets za Urusi ambazo zinashusha Maghorofa lakini Ujeruman akala U-Turn.

Kiufupi TU Ni kwamba,Ukraine ana Molale ya Kupigana lakini Hana Siraha. Ndio maana Miji mingi imesambaratika kwasababu Hana Mifumo ya Ulinzi wa Anga ya Uhakika zaidi ya S-300 ambazo zimetengenezwa na hao hao Urusi kwahiyo Ni Rahisi hata Kuzi-JAM.

Kama Ukraine angelikuwa na Mifumo ya Ulinzi wa Anga Imara Kama IRON DOME,DAVID SLING,PAC-3,AIEGS,Patriot basi hayo Magorofa unayoyaona yameangusha hivi Sasa yangelikuwa yamesimama. Urusi isingethubutu kupeleka FIGHTER JETS kwenye Anga la Ukraine,Zaidi zaidi zingelipelekwa Drones TU kwa wingi ambazo haziwezi kubeba LARGE PAYLOAD.

Baada ya Vita vya Ukraine,Mataifa mengi yatapeleka Wanajeshi wao kujifunza jinsi ya Kutumia Siraha kwenye Mataifa Makubwa. Hii Ni kwasababu,Mpaka sasa Marekani anashindwa kuwapa Ukraine Siraha kubwa kwasababu hawawezi kuzitumia. Mfano Ni HAWITZER CANNON MISSILES. Hizi Ni Aina ya Makombora yaliyoboreshwa yenye Uwezo wa kupiga 100Km. Mpaka sasa Ukraine inatumia HOME MADE ANTI-SHIP MISSILES Aina ya NEPTUNE ambazo Range yake Ni Ndogo Sana (Only 15Km). Kwahiyo Russia anatumia LONG RANGE ARTERARY kupiga Ndani ya Ukraine na Ukraine hawezi kuzishambulia kwasababu Hana LONG RANGE MISSILES. Lakini Kama angelipata HAWITZER CANNON nadhani Mambo yangelibadilika Sana.
Una akili mkuu .umeelezea kama mtu aliyeenda shule
 
Back
Top Bottom