JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.
Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.
Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.
Chanzo: DPA
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).Si mmesema Russia anachapika? Propaganda za kijinga sana. Mara eti Russia imepoteza nearly 15,000 soldiers....daaaaah
Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Hizo takwimu sio sahihi Idadi iko juu zaidi iwe kwa upande wa Russia au Ukraine.Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Hivi zile silaha anazopewa Ukraine ni za manegani tu?Ant aircraft missiles,fighter jets nk ni silaha za mabegani?Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Amepoteza Ulikuwa Unawahesabu!Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Yaani Mashoga Yote Yamejikusanya Ukrein na Bado Taifa moja tu Linawapa ChamotoHivi zile silaha anazopewa Ukraine ni za manegani tu?Ant aircraft missiles,fighter jets nk ni silaha za mabegani?
Tunataarifa Russia ishapoteza karibu wanajeshi 20,000., Keep going ... naamini hii vita Ukraine itashinda tu,Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema kati ya wanajeshi 2,500 na 3,000 wa taifa lake wamepoteza maisha hadi sasa katika vita vya taifa hilo na Urusi na kwamba wengine 10,000 wamejeruhiwa.
Akizungumzia vita hiyo inayoelekea siku 50 tangu kuanza, Zelensky amesema ni vigumu kujua wanajeshi wangapi waliojeruhiwa watapona.
Hivi karibuni Urusi nayo ilitangaza kuwa wanajeshi wake 1,350 wameuawa katika vita hivyo tangu vianze.
Chanzo: DPA
Mkuu Putini ni kiongozi muongo sana na zile taariza Russia kupoteza wanajesh 3000 alisema uongo sana wakati anatamka wanajeshi 3000 Urusi ilishaoteza wanajeshi 16,000Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Russia ongeza 500 waliozama na moskvaTuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).
Kiufupi, inaonekana udhaifu wa urusi,Tuliza kimuhemuhe kijana. Yaani Ukraine aliyevamiwa Kupoteza Wanajeshi 3000 huku Urusi aliyevamia akipoteza Wanajeshi 1400 Bado huoni Kama Ukraine ni wapambanaji TU? Hivi kuua Wanajeshi 1400 wa Urusi kwa Siraha ndogo ndogo TU za Kurusha Mabegani huku Urusi yenye Ndege za Kivita,Meli za Kivita na Makombora ya Masafa Marefu ikiuwa Wanajeshi 3000 TU wa Ukraine Bado Huoni Ukraine kapambana. Hiyo ni Sawa na Russia 2-1Ukraine (Russia 3000-1400 Ukraine).