Soon anaachia ngazi huko Ukraine. Kauli hii ni moja ya kukubali matokeo.Jana Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali zao huko Ukraine ni mbaya vipi hili nalo unalizungumziaje?!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon anaachia ngazi huko Ukraine. Kauli hii ni moja ya kukubali matokeo.Jana Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali zao huko Ukraine ni mbaya vipi hili nalo unalizungumziaje?!!!!
Kumbe ww Humjui Zelensky ilaha unapiga piga ramli (saa habari)Kwa mara ya mwanzo tangu vita vianze raisi Zelensky wa Ukraine ameondoka nchini mwake kuelekea Washington ili kukutana na Rais Biden.
Huku safari ikiwa imeiva nchi nzima ilisikika ving'ora vikiashiria makombora yanayotembea angani kutafuta shabaha zake.
Hapo jana kwa mara ya tatu katika wiki hii vinu vya umeme vya mji wa Kyiv vilishambuliwa kwa droni za Urusi na kuzidi kuwakatisha tamaa raia na viongozi wao juu ya upatikanaji wa umeme.
Mashambulizi ya mara tatu kwa wiki inaonekana ni ujumbe maalum Urusi uliyotaka uwafikie watu wa Ukraine.
Katika hali kama hii kuondoka kwa raisi Zelensky ni kuishiwa na kukimbilia kwa wafadhili wake auj ni ziara ya kuendelea kulia lia kwa wafadhili hao.
Na jee makamanda wake watamruhusu kurudi tena nchini humo kuzidi kuiangamiza nchi yao.?
Tunaomba chanzo cha hadithi yako.
Hicho chanzo/ link ndo inaonyesha kwamba Zelensky amekimbia Ukraine? Wtf. Acha uongo wa kijinga.
Kwa sababu nato wamevaa magwanda ya kiyukireni.Mkuu kwanini jeshi la Urusi kwa sasa limepunguza mashambulizi ya ardhini na badala yake nguvu kubwa wameiweka kwenye matumizi ya drones ?
ahsante sana kwa update nzuri sana.Kwa mara ya mwanzo tangu vita vianze raisi Zelensky wa Ukraine ameondoka nchini mwake kuelekea Washington ili kukutana na Rais Biden.
Huku safari ikiwa imeiva nchi nzima ilisikika ving'ora vikiashiria makombora yanayotembea angani kutafuta shabaha zake.
Hapo jana kwa mara ya tatu katika wiki hii vinu vya umeme vya mji wa Kyiv vilishambuliwa kwa droni za Urusi na kuzidi kuwakatisha tamaa raia na viongozi wao juu ya upatikanaji wa umeme.
Mashambulizi ya mara tatu kwa wiki inaonekana ni ujumbe maalum Urusi uliyotaka uwafikie watu wa Ukraine.
Katika hali kama hii kuondoka kwa raisi Zelensky ni kuishiwa na kukimbilia kwa wafadhili wake auj ni ziara ya kuendelea kulia lia kwa wafadhili hao.
Na jee makamanda wake watamruhusu kurudi tena nchini humo kuzidi kuiangamiza nchi yao.?