Zelensky aitembelea au akimbilia Marekani?

Jana Babu Putin amekiri hadharani kwamba Hali zao huko Ukraine ni mbaya vipi hili nalo unalizungumziaje?!!!!

Soon anaachia ngazi huko Ukraine. Kauli hii ni moja ya kukubali matokeo.
 
Kumbe ww Humjui Zelensky ilaha unapiga piga ramli (saa habari)
 
Hii ndo nafasi muhimu kwa CDF wa Ukraine kumaliza vita.
Amwambie Zele abaki huko huko, jeshi lichukue nchi kisha wakae mezani wayajenge na Putin
 
ahsante sana kwa update nzuri sana.
 
Amekimbilia kwa wafadhili wake kenge maji kabisa anatumika na shoga mkuu
 
Putin akitoka tuu hapo wahuni wanatangaza Urais ndio maana hataki kabisa mambo hizo ukiona Rais kipindi cha Vita anaweza kusafiri na kurudi Nchini mwake jua ulinzi na usalama upo Putin aende hata yale maeneo aliyochukua kama anavyofanya Zelensky kama hadithi haijaishia huko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…