Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kila siku raisi wa Ukraine anapotaka kujisifu kuwa amekomboa eneo au tuseme anapopiga propaganda za vita hawachi kusifu silaha fulani aliyopokea karibuni kutoka Marekani au kwa washirika wake.
Na anaponyimwa chochote na nchi hizo hawachi kutoa lawama za wazi wazi na vitisho kwa taifa hilo kwa kumnyima alichotaka.
Kwa ukweli tabia hizi ni za kupimwa sana na watu wanaotoa ushirikiano naye,kwani inaonesha wazi kuwa nia yake ni kugombanisha mataifa ili dunia iingie kwenye vita ya tatu ya dunia.Sijui kwa hili anatamani apate nishani ya aina gani na inashangaza kwamba mataifa makubwa yanakokotwa kuelekea kwenye balaa mithili ya chatu anavyomla mbwa.
Na anaponyimwa chochote na nchi hizo hawachi kutoa lawama za wazi wazi na vitisho kwa taifa hilo kwa kumnyima alichotaka.
Kwa ukweli tabia hizi ni za kupimwa sana na watu wanaotoa ushirikiano naye,kwani inaonesha wazi kuwa nia yake ni kugombanisha mataifa ili dunia iingie kwenye vita ya tatu ya dunia.Sijui kwa hili anatamani apate nishani ya aina gani na inashangaza kwamba mataifa makubwa yanakokotwa kuelekea kwenye balaa mithili ya chatu anavyomla mbwa.