Zelensky aonya kuwa Dunia inapaswa kuwa tayari kwa uwezekano wa Urusi kutumika silaha za nyuklia

Zelensky aonya kuwa Dunia inapaswa kuwa tayari kwa uwezekano wa Urusi kutumika silaha za nyuklia

Kama hizo habari zikiwa za kweli nani atakayemzuia Putin kufanya hicho kitu, nawaona wote hadi magharibi wanalalamika tu.
Kuzuilika anaweza tatizo mataifa makubwa yanata advantages ya superior
 
Putini ni kama vile kachanganyikiwa siku 60 zimekatika hajapata hitajio lake ata 1, aliita operation kwa makadirio ya siku chache tu hivi sasa inamkost muda zaidi wanajeshi wake pia wanafariki unexpected, hela nyingi anatumia kwa kila siku ya vita na vikwazo mpaka nywele wadadisi wa mambo wanasema Putin ana stress mpaka balaa akili yake sasa inawaza kupiga nuclear tu ndicho kilichobaki kumaliza biashara lakini hafahamu kwamba ndio ataenda kujimaliza kabisa kabisa, Nato wanamuangalia kwa macho manne endapo atapiga nuclear atakavyoshughulikiwa vigorously tena on time.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila dunia ina vichekesho hii, eti wanajeshi wa urusi wamekufa, wa Ukraine wanalala? Eti siku 60 hajapata anachotaka, tueleze alikua anataka nini? Wanajeshi wanazikwa hai huko mariupol hao nato hawaoni? Na hakuna makubaliano ya mezani this time around.
 
Kosa la zele ni kuzuwia raia kukimbia nchi, raia hana mafunzo ya kijeshi unamlazimisha apigane,zele ni muuaji mkubwa wa raia wa Ukraine,nchi ikiwa na amani hupati nafasi jeshini,vita ikitokea wanataka raia wapiganie nchi,huo ni upuuzi na upumbavu,Sasa hivi nchi ikiwa kwenye amani nafasi za jeshini wanapewa wototo wa vigogo sisi malofaa tupo kwa ajiri ya kuipigania nchi,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila dunia ina vichekesho hii, eti wanajeshi wa urusi wamekufa, wa Ukraine wanalala? Eti siku 60 hajapata anachotaka, tueleze alikua anataka nini? Wanajeshi wanazikwa hai huko mariupol hao nato hawaoni? Na hakuna makubaliano ya mezani this time around.
Putini hitajio lake no1, ametaka cremea kuwa sehemu ya russia, no.2 ametaka Donbas kuwa huru, no.3 ametaka Ukraine isijiunge na Nato lakini na European Union

Ndio mana nimeandika hajapata Cremea, wala Donbas mana vita inaendelea bado, kuhusu Nato Zelensky amesema atafanya referendum kuwauliza Wa-Ukraine kama wanataka au la lakini European Union kila mmoja ameshuhudia duniani Zelensky akikabidhiwa mafomu ya kujiunga na umoja wa ulaya tena mchana kweupe ni vile process zinaendelea kwa vile kuna taratibu mpaka zikamilike.

Hadi sasa Zelensky bado ni Rais wa Ukraine na anadunda Kyiv, anafanya mikutano Kyiv ujumbe wowote anaotaka kukutana nao wanamfata Kyiv akiwa salama kabisa ndio mana nimesema Putin ana stress sana kuona haya yote yanafanyika yeye hana ubavu kuzuia., Alifikiria Donbas kashaipata pale mapema alipovamia mpaka kupachika mabendera yake lakini wapi, alivyoshindwa Kyiv vidume vimemtilia team huko huko na Cremea pia kwa mujibu wa Zelensky Ukrain haitakuwa tayari kupoteza eneo lake ata inch. On top of that majenerali 9 wameenda na maji ndio mana juzi kamleta mpya kutoka Syria aliyekuwa ndo huyo anapiga mabomu bila mpango akiwa mbali na Ukraine.

Angalia ramani kama unajua kusoma utakuta russia yuko maeneo ya pembeni pembeni bado kwa siku 60 alizovamia
 
NATO wanachoweza ni kutuma silaha na wanajeshi wastaafu, vitoto vyao vimejifungia ndani vinakua, Putin ni zaidi ya NATO
Tunamuona Putin 60 days passed operation on going., alifikiri anaenda kumtoa Zelensky madarakani kama vile kumpiga chura teke
 
Putini hitajio lake no1, ametaka cremea kuwa sehemu ya russia, no.2 ametaka Donbas kuwa huru, no.3 ametaka Ukraine isijiunge na Nato lakini na European Union

Ndio mana nimeandika hajapata Cremea, wala Donbas mana vita inaendelea bado, kuhusu Nato Zelensky amesema atafanya referendum kuwauliza Wa-Ukraine kama wanataka au la lakini European Union kila mmoja ameshuhudia duniani Zelensky akikabidhiwa mafomu ya kujiunga na umoja wa ulaya tena mchana kweupe ni vile process zinaendelea kwa vile kuna taratibu mpaka zikamilike.

Hadi sasa Zelensky bado ni Rais wa Ukraine na anadunda Kyiv, anafanya mikutano Kyiv ujumbe wowote anaotaka kukutana nao wanamfata Kyiv akiwa salama kabisa ndio mana nimesema Putin ana stress sana kuona haya yote yanafanyika yeye hana ubavu kuzuia., Alifikiria Donbas kashaipata pale mapema alipovamia mpaka kupachika mabendera yake lakini wapi, alivyoshindwa Kyiv vidume vimemtilia team huko huko na Cremea pia kwa mujibu wa Zelensky Ukrain haitakuwa tayari kupoteza eneo lake ata inch. On top of that majenerali 9 wameenda na maji ndio mana juzi kamleta mpya kutoka Syria aliyekuwa ndo huyo anapiga mabomu bila mpango akiwa mbali na Ukraine.

Angalia ramani kama unajua kusoma utakuta russia yuko maeneo ya pembeni pembeni bado kwa siku 60 alizovamia
Wapunguzie doz mkuu, watazimia hao.
 
Zelesky ni kibaraka wa Marekani... ndio maana haoni uchungu wa Taifa la Ukraine kuangamia... Yupo kwa maslahi ya Marekani... wakati huo Marekani anauza silaha na kupelekea deni kubwa kwa taifa la Ukraine... mwisho wa siku... Ukraine hatakuwa na option zaidi ya kutii kila kitu cha Marekani... hakuna msaada wa bure.... Marekani anauza silaha zake.... na viwanda vya silaha vinapata soko kubwa sana. Hii vita kwa ukweli ni Kati ya America(Ukraine) na Russia. Kazi ipo kubwa sana.
 
Putini hitajio lake no1, ametaka cremea kuwa sehemu ya russia, no.2 ametaka Donbas kuwa huru, no.3 ametaka Ukraine isijiunge na Nato lakini na European Union

Ndio mana nimeandika hajapata Cremea, wala Donbas mana vita inaendelea bado, kuhusu Nato Zelensky amesema atafanya referendum kuwauliza Wa-Ukraine kama wanataka au la lakini European Union kila mmoja ameshuhudia duniani Zelensky akikabidhiwa mafomu ya kujiunga na umoja wa ulaya tena mchana kweupe ni vile process zinaendelea kwa vile kuna taratibu mpaka zikamilike.

Hadi sasa Zelensky bado ni Rais wa Ukraine na anadunda Kyiv, anafanya mikutano Kyiv ujumbe wowote anaotaka kukutana nao wanamfata Kyiv akiwa salama kabisa ndio mana nimesema Putin ana stress sana kuona haya yote yanafanyika yeye hana ubavu kuzuia., Alifikiria Donbas kashaipata pale mapema alipovamia mpaka kupachika mabendera yake lakini wapi, alivyoshindwa Kyiv vidume vimemtilia team huko huko na Cremea pia kwa mujibu wa Zelensky Ukrain haitakuwa tayari kupoteza eneo lake ata inch. On top of that majenerali 9 wameenda na maji ndio mana juzi kamleta mpya kutoka Syria aliyekuwa ndo huyo anapiga mabomu bila mpango akiwa mbali na Ukraine.

Angalia ramani kama unajua kusoma utakuta russia yuko maeneo ya pembeni pembeni bado kwa siku 60 alizovamia
Hizo sehemu hadi Mariupol IPO chini ya warusi na bado Warusi wanaendelea kuchukua miji mengine.
 
Putin anawachezea watu akili, anafikiri akitaja taja nyuklia ndio watu watamuogopa kwa sababu vita alivyovianzisha kashindwa kuvimaliza.

Yeye ni kama muoga ambaye anakimbilia panga baada ya kuona amezidiwa. Bure kabisa huyu dikteta.
 
Hizo sehemu hadi Mariupol IPO chini ya warusi na bado Warusi wanaendelea kuchukua miji mengine.
Ukrean wamekataa jana izo ni propaganda za putin, mbona russia walitoa masaa ukraine waeke silaha chini na kama kweli mji upo chini yao?? muda umeisha leo asubuhi ukraine wanajibu watapigana mpaka dakika ya mwisho, hakuna mavi yoyote yaliyo chini ya Warusi
 
Hizo nchi zote zina counter measures za Nukes.... Swali ni je Afrika tuna hizi measures?
Sijui ni nchi gani afrika, nilitaka kusema afrika kusini ila baada ya kuchunguza uchumi na yale madude yanavyohitaji budget nikaiondoa haraka.
 
Yaani anajua silaha zitatumika kwake Ukraine, halafu anasema anaitahadharisha dunia! Wakati wao ndiyo wataathirika shenzi Sana huyo!
Atafute Amani! Miezi miwili hakuna beberu aliyepeleka majeshi yake openly kumsaidia, wanachapika wao wenyewe!
Maji yapo shingoni mkuu.
Mkiwa mnapigana na mwenzako kakuwajibisha ipasavyo utaongea lolote la kutaka msaada kwa walio karibu.
 
Hafai kuongoza Ukraine aliahidi kumaliza mgogoro Ukraine ya mashariki matokeo yake Ukraine yote iko vitani
hv upo timamu kwel , unaandika km vile Ukraine ni taifa kubwa na imara kuliko kitovu cha tatizo ( Urusiv)
 
Yaani anajua silaha zitatumika kwake Ukraine, halafu anasema anaitahadharisha dunia! Wakati wao ndiyo wataathirika shenzi Sana huyo!

Atafute Amani! Miezi miwili hakuna beberu aliyepeleka majeshi yake openly kumsaidia, wanachapika wao wenyewe!
Hana akili KENGE yule acha waendelee kutiwa adabu maana hawana
 
Back
Top Bottom