Zelensky bado anaweweseka; anashindwa kukubaliana na ukweli kuwa Bakhmut imeshatekwa

Zelensky bado anaweweseka; anashindwa kukubaliana na ukweli kuwa Bakhmut imeshatekwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Zelensky anatia huruma, hataki kuamini kuwa habari za kutekwa Bukhmut ni halisi!! Anatamani iwe ni kama ndoto ili atakapotoka usingizini aseme Ah! kumbe ni ndoto tu. Lakini huo ndio ukweli, aliwekeza nguvu zake zote kuilinda ngome yake kubwa ya Bukhmut.

Wakati msaidizi wake amekubali kuwa Bukhmut imeshatekwa ila wataurudisha tena mikononi mwao mji huo, yeye Zelensky amesema HAPANA bado Bukhmut haijatekwa!!

Ukraine President Volodymyr Zelensky

A defiant Volodymyr Zelensky has insisted Bakhmut "is not occupied" by Russia after a Moscow-backed mercenary group had claimed control.

Ni kama tajiri akifilisika ghafla huwa hataki kukubaliana na ukweli huo!! Sasa mimi nasema si aende mwenyewe huko Bukhmut akapige picha live pale ili watu wakubali kuwa bado anamiliki Bukhmut!
 
Habari zenyu zinachanganya sana. 1. Jana: Zelensky amekiri Bukhmut imetwaliwa na Urusi. 2. Leo: Zelensky anatia huruma, hataki kuamini kuwa habari za kutekwa Bukhmut ni halisi. SWALI 1. Zele yupi alitangaza kuchukuliwa Bukhmut. 2. Zele yupi anayekataa kuanguka kwa Bukhmut.
 
Kashakubali na amefananisha kipigo walichopokea Bakhmut na kile cha bomu la atomic lililopiga Hiroshima Japan

Screenshot_20230522-123117_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom