Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unielezee maana yake ,jukwaa hili tunapeana Elimu na maarifa.Do you know the meaning of a "Sovereign State", it's better to start from there.
Tatizo lilianzia kwenye uchaguzi ule ambao ulimtoa Yanukovich madarakani na kupelekea Maidan Revolution .Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.
Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.
Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k
Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?
Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.
Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
Rasimali gani ambazo Ukraine anazo ila Urusi hana?Umetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
Akikujibu nipo hap nami nasubiria jibuRasimali gani ambazo Ukraine anazo ila Urusi hana?
Mwenyewe anajiona kaandika la maana kwelikweli.Wewe ni mjinga kuliko yeye mkuu
Faida ya kiusalama ni muhimu katika uchumi, ni nchi gani kubwa kiuchumi ambayo haina jeshi kubwa?Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.
Hizo nchi haziishi kwa kuangaliziana, hazilazimiki kufanana wala kuigana. Kila nchi na matakwa yake na isipangiwe muungano.Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano
Haijawahi tishiwa kuvamiwa na Urusi.Tajikistan
Kyrgyzstan haijawahi tishiwa kuvamiwa na Urusi.kyugistan
Ilivamiwa na Urusi sababu haikuwa NATO. Ikagawanywa Southern Ossetia na Abkhazia.Georgia
Haijawahi tishiwa kuvamiwa na Urusi. Ila Urusi iliiunga mkono Armenia kwenye mgogoro wa Nagorno Karabakh. Azerbaijan ikawa na support ya Israel na Turkey, wakashinda influence ya Urusi. Urusi asingevamia akashindane tena na Uturuki maana huwa inamuumbua refer Libya na Syria.Azebaijan
Haijatishiwa kuvamiwa na Urusi na inapewa misaada ya kijeshi. Wala EU au NATO hawajaing'ang'ania kama ambavyo Urusi inajilazimisha kwa Ukraine.Beralus
Kwanini Urusi isijiunge European Union, kwani haitaki kukua kiuchumi?Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Kulinda nchi yao. Thats all.Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?
Kabla ya Zelensky, Urusi haikuvamia Ukraine. Urusi ilivamia February 2022 ambapo Rais alikuwa Zelensky.Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.
Ukraine wanaitaka EU.Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwani Ukraine hajui kuwa NATO sio ya kiuchumi. Ukraine inajua mahitaji yake kuliko wewe ambaye hata sio raia.Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelenksy na Ukraine wanataka kujiunga EU na NATO, vyote. Huo ulazima usiouona wao wanauona na huna mamlaka ya kuwapangia wasiuone, hata Urusi haina mamlaka hayo.Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
Watanzania tunaakili kwamba kama leo tuna unga na dagaa ndani ya kesho yatajisumbukia, wenzetu wanapanga miaka 200 mbele na hapo ndo wametuzidi. Ukijua kuwa Marekani ina mafuta mengi ya kuchimba karne na karne ila hawagusi wanapambana na mafuta ya watu utajua mzungu haangalii leo...Rasimali gani ambazo Ukraine anazo ila Urusi hana?
Trump alimpasha huyu shoga zelenskyy kuwa anachezea Shilingi kwenye tundu la choo kwamba world war three inaweza tokea halafu li Zelenskyy linabana pua tu hahahaha, ninavyoons he will be disposedKitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.
Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.
Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k
Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?
Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.
Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
A 'Sovereign State' is defined as a political entity that holds the right to domestic autonomy and the ability to enter into treaties independently with other entities, excluding external sources of authority both in theory and in practice."Naomba unielezee maana yake ,jukwaa hili tunapeana Elimu na maarifa.
Sasa Mimi si nimeuliza?Unajua zaidi kinachoifaa Ukraine kuliko Waukraine wenyewe?
Je Mexico,na Cuba hazina hadhi au Hali hiyo?A 'Sovereign State' is defined as a political entity that holds the right to domestic autonomy and the ability to enter into treaties independently with other entities, excluding external sources of authority both in theory and in practice."
Uko sahihi kabisa Mkuu.Trump alimpasha huyu shoga zelenskyy kuwa anachezea Shilingi kwenye tundu la choo kwamba world war three inaweza tokea halafu li Zelenskyy linabana pua tu hahahaha, ninavyoons he will be disposed
Kwani zitakataliwa na nani wakati ni nchi huru.Je Mexico,na Cuba hazina hadhi au Hali hiyo?
Kwa mfano mexico na Cuba zikaomba kupewa ulinzi wa kijeshi toka Urusi zitakubaliwa?
Ukraine hii ya akina pro west ndio yenye tabu ila ya post soviet na wale pro russia leaders ilokuwa iko poa sana tu kwa russia ila hii ya kuleta adui kwenye boda ya russia wacha ifumuliwe na ivunjwe vunjwe lazima russia ijiwekee buffer zoneUmetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
Sana ni jamaa jinga mno. Unajua wa Ukraine wengi ni kama wapemba wa bongo, hivi leo ukisema bara na visiwani tuuane na afaidike oman au Iran hivi ni akili???Uko sahihi kabisa Mkuu.
Na zelensky alikua anachagiza sana USA na NATO waingie rasmi vitani,bila kujua madhara yake.
Trump amemgundua jamaa ni kiparumba mno.
Ulishaconclude kwa kusema kuna viongozi wazungu wajinga sana.Sasa Mimi si nimeuliza?
Toa maelezo basi,mbona na wewe Tena umeniuliza Mimi?
Ningekua Putin ningefanya hvyo Ningekua Zalensky ningefanya hvyo piaUkraine hii ya akina pro west ndio yenye tabu ila ya post soviet na wale pro russia leaders ilokuwa iko poa sana tu kwa russia ila hii ya kuleta adui kwenye boda ya russia wacha ifumuliwe na ivunjwe vunjwe lazima russia ijiwekee buffer zone