Zelensky: Nina hakika Putin hawezi kutembelea wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine'

Zelensky: Nina hakika Putin hawezi kutembelea wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine'

Nashindwa kuendelea na ww kwenye hoja hii kama ni tofauti kwanini juzi amefukuza kazi majenerali 5?

Hii ni kuonyesha wazi Putin haungwi mkono na majeshi yake usaliti ni mwingi mno, jeshi la russia mara kadhaa wamekuwa wakilalamikia Putin kw uamuzi wake kuivamia ukraine na kuua raia ndugu ambao wameingiliana kwenye kizazi kama nyinyi huko vichogo kutoka bara na kule zanzibar

Putini karibuni alinusurika kifo kutoka kw walinzi wake chup chup
Hiyo habari ya kusema Putini amewafukaza kazi majenerali watano ni fake news. Kungekuwa na ukweli habari hiyo ingeonyeshwa kwenye TVs za magharibi kwa wiki nzima
 
Nashindwa kuendelea na ww kwenye hoja hii kama ni tofauti kwanini juzi amefukuza kazi majenerali 5?

Hii ni kuonyesha wazi Putin haungwi mkono na majeshi yake usaliti ni mwingi mno, jeshi la russia mara kadhaa wamekuwa wakilalamikia Putin kw uamuzi wake kuivamia ukraine na kuua raia ndugu ambao wameingiliana kwenye kizazi kama nyinyi huko vichogo kutoka bara na kule zanzibar

Putini karibuni alinusurika kifo kutoka kw walinzi wake chup chup
Wangemuua kabisa huyu trash Putin.
 
Rais wa taifa kubwa duniani Kama Russia aende kutembelea wanajeshi mstari was mbele kwa wazo la Nani? Yaani fsb wakubali?Russian military wakubali? I'll Nini akitembea huko? Kama Vita wanae wanaendelea kuchukua maeneo ugenini.
Trump aliwahi kutembea ugenini Iraq 2018 lakini Vita ya Iraq so Kama hii.
Vilevile Putin 2017 au 18
 
Kama alienda Syiria wakati ule wa vita vikali..ni hapo tuu upande mwingine?
nan angemshambulia kule Syria ,tofautisha migogoro , mgogoro huu anauliwa vzr sabab zipo maana kaharibu nchi ya watu kwa sababu za kijinga sana , wkt waukraine wenyew walilidhia kujiunga na NATO na sio mawazo ya rais , ila kule Syria Kumshambulia Putin kungehaharisha Vita baina ya USA na Urusi , kitu ambacho West hawakuwa na manufaa nacho maana target ilikuwa kuiba mali ghafi za Syria na tyr walikuwa wameshika maeneo strategic
 
Hata hivyo aende kufanya nini kwani?
hujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambano
 
Yani kama mtoto yule anayesema ukija kwetu huli aje asije miji inachukuliwa anataka ampangie komredi putin yeye kama naaaaani??!!!! Ngoja mpaka vijana wasafishe mji ndipo komredi wetu aje akanyage sehemu safi na salama.
Hitler alianza hivyo hivyo
 
Jamaa anakwend ktk maeneo hatarishi kama mdudu digidigi. Kila atua mbili anajificha na kuangaza mimacho pande zote

Na hii atua ya kwenda kila mara vitani ni kwasababu haliamini kabisa jeshi lake, anahisi wanajeshi wake wanaitaji kutiwa moyo maana kupambana na Russia sio mcbezo.

Putin analiamini jeshi lake na hana haja ya kwenda kulitia moyo ili lipambane kiume
ushabik bana ,Kwahiyo na Nyerere alikuwa hajiamini ? vita zina mbinu
 
Hee Kama Putini analiamini jeshi lake angebadilisha askari wanaomlinda yeye binafsi zaidi ya mara nane????
Ivi wewe unaishi dunia ipi?
hajielew huyo , Putin analialia huko Moscow kuwa wanataka kumvamia ila yy yupo kupaza shingo apa
 
hujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambano
Wambieni wavuke mpaka wakapiganie Urusi muone kama hataenda kuwatembelea, yeye ni kiongozi wa nchi kwenda kudhurula nchi nyingine mnayopigana kwa akili yako unaona ni busara na salama, au mnataka mje na maneno mengine ya alienda kufanya nini wakati hashiki siraha.
 
na hapo bado hawajamwingilia , siku wakiingia mjin moscow , atajiua km Hitler
Hakuna taifa lolote hapa duniani lenye ubavu wa kuingia Moscow. Hayo maeneo tuliojimegea kimasihala ubavu wa kutia mguu hamna ndio mje mtie mguu Moscow??
 
hujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambano
Hakuna rais anayekwenda mstari wa mbele kwenye vita. Huyo jamaa ni Comedian, alikwenda kupiga picha wakati Ukraine army wakishikilia hayo maeneo kablaa ya kufurushwa na jeshi la Russia
 
Back
Top Bottom