Hiyo habari ya kusema Putini amewafukaza kazi majenerali watano ni fake news. Kungekuwa na ukweli habari hiyo ingeonyeshwa kwenye TVs za magharibi kwa wiki nzimaNashindwa kuendelea na ww kwenye hoja hii kama ni tofauti kwanini juzi amefukuza kazi majenerali 5?
Hii ni kuonyesha wazi Putin haungwi mkono na majeshi yake usaliti ni mwingi mno, jeshi la russia mara kadhaa wamekuwa wakilalamikia Putin kw uamuzi wake kuivamia ukraine na kuua raia ndugu ambao wameingiliana kwenye kizazi kama nyinyi huko vichogo kutoka bara na kule zanzibar
Putini karibuni alinusurika kifo kutoka kw walinzi wake chup chup
Wangemuua kabisa huyu trash Putin.Nashindwa kuendelea na ww kwenye hoja hii kama ni tofauti kwanini juzi amefukuza kazi majenerali 5?
Hii ni kuonyesha wazi Putin haungwi mkono na majeshi yake usaliti ni mwingi mno, jeshi la russia mara kadhaa wamekuwa wakilalamikia Putin kw uamuzi wake kuivamia ukraine na kuua raia ndugu ambao wameingiliana kwenye kizazi kama nyinyi huko vichogo kutoka bara na kule zanzibar
Putini karibuni alinusurika kifo kutoka kw walinzi wake chup chup
na hapo bado hawajamwingilia , siku wakiingia mjin moscow , atajiua km HitlerPutin siku hizi anaishi kwenye mahandaki utadhani kenge.
nan angemshambulia kule Syria ,tofautisha migogoro , mgogoro huu anauliwa vzr sabab zipo maana kaharibu nchi ya watu kwa sababu za kijinga sana , wkt waukraine wenyew walilidhia kujiunga na NATO na sio mawazo ya rais , ila kule Syria Kumshambulia Putin kungehaharisha Vita baina ya USA na Urusi , kitu ambacho West hawakuwa na manufaa nacho maana target ilikuwa kuiba mali ghafi za Syria na tyr walikuwa wameshika maeneo strategicKama alienda Syiria wakati ule wa vita vikali..ni hapo tuu upande mwingine?
anasubir nn , Nyerere alienda mstar wa mbele kuwafariji vijana wake , kwann Putin asiende hata upande wa Urusi tu kule mpakana akawape morali vijana wake
hujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambanoHata hivyo aende kufanya nini kwani?
Hitler alianza hivyo hivyoYani kama mtoto yule anayesema ukija kwetu huli aje asije miji inachukuliwa anataka ampangie komredi putin yeye kama naaaaani??!!!! Ngoja mpaka vijana wasafishe mji ndipo komredi wetu aje akanyage sehemu safi na salama.
ushabik bana ,Kwahiyo na Nyerere alikuwa hajiamini ? vita zina mbinuJamaa anakwend ktk maeneo hatarishi kama mdudu digidigi. Kila atua mbili anajificha na kuangaza mimacho pande zote
Na hii atua ya kwenda kila mara vitani ni kwasababu haliamini kabisa jeshi lake, anahisi wanajeshi wake wanaitaji kutiwa moyo maana kupambana na Russia sio mcbezo.
Putin analiamini jeshi lake na hana haja ya kwenda kulitia moyo ili lipambane kiume
hajielew huyo , Putin analialia huko Moscow kuwa wanataka kumvamia ila yy yupo kupaza shingo apaHee Kama Putini analiamini jeshi lake angebadilisha askari wanaomlinda yeye binafsi zaidi ya mara nane????
Ivi wewe unaishi dunia ipi?
kwan wanajesh wameenda kufany nn Ukraine ?Inawezekana Zelensky ni kichaa kweli. Sasa Putin akafanyeje Ukraine?
Wambieni wavuke mpaka wakapiganie Urusi muone kama hataenda kuwatembelea, yeye ni kiongozi wa nchi kwenda kudhurula nchi nyingine mnayopigana kwa akili yako unaona ni busara na salama, au mnataka mje na maneno mengine ya alienda kufanya nini wakati hashiki siraha.hujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambano
Kulibwaga[emoji41][emoji41][emoji41]kwan wanajesh wameenda kufany nn Ukraine ?
Jeshi la urusi haliitaji kufalijiwa, wao ni kazi kazi tuanasubir nn , Nyerere alienda mstar wa mbele kuwafariji vijana wake , kwann Putin asiende hata upande wa Urusi tu kule mpakana akawape morali vijana wake
Hakuna taifa lolote hapa duniani lenye ubavu wa kuingia Moscow. Hayo maeneo tuliojimegea kimasihala ubavu wa kutia mguu hamna ndio mje mtie mguu Moscow??na hapo bado hawajamwingilia , siku wakiingia mjin moscow , atajiua km Hitler
Hakuna rais anayekwenda mstari wa mbele kwenye vita. Huyo jamaa ni Comedian, alikwenda kupiga picha wakati Ukraine army wakishikilia hayo maeneo kablaa ya kufurushwa na jeshi la Russiahujui maana ya Rais kwenda mstar wa mbele kuwapa morali vijana wake , kila vita baina ya nchi mbili zilizopakana , viongoz kwenda kuwasalimia vijana hutoa morali kwa wapoganaj na kuona matumaini ya kuendeleza mapambano
Hta ku google unashindwa[emoji4][emoji4][emoji4]Mkuu Putin alienda Syria lini