DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Raisi Zelensky usiku wakuamkia leo Amesema nchi yake inapoteza wanajeshi 60-100 kila siku kwenye mapambano yanayoendelea nchini kwake.
Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha television Cha NEWSMAX TV CHANNEL kuhusiana na Hali ya Vita mashariki mwa Ukraine.
Zelensky alisisitiza kwamba Hali ni mbaya Sana hasa kusini mwa donesk na luhansk japo wanajitahidi kuzuia sana mashambulizi ya Russia kadri ya uwezo wao.
==========
In an interview with Newsmax TV Channel, President Volodymyr Zelensky said the situation in the east of Ukraine and southern Donetsk and Luhansk remains the most tense.
“We’re losing 60-100 soldiers per day killed in action and around 500 people wounded in action. So we are holding our defensive perimeters,” Zelensky said, adding that Ukraine and her people are the “defensive perimeter” for the world.
Source: Kyiv Independent
Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha television Cha NEWSMAX TV CHANNEL kuhusiana na Hali ya Vita mashariki mwa Ukraine.
Zelensky alisisitiza kwamba Hali ni mbaya Sana hasa kusini mwa donesk na luhansk japo wanajitahidi kuzuia sana mashambulizi ya Russia kadri ya uwezo wao.
==========
In an interview with Newsmax TV Channel, President Volodymyr Zelensky said the situation in the east of Ukraine and southern Donetsk and Luhansk remains the most tense.
“We’re losing 60-100 soldiers per day killed in action and around 500 people wounded in action. So we are holding our defensive perimeters,” Zelensky said, adding that Ukraine and her people are the “defensive perimeter” for the world.
Source: Kyiv Independent