NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Anaanza kusema ukweli tupu comedy kaweka kando.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe acha kukurupuka kwani ushamaliza kukata gogo?Russia JE? Kwa siku anapoteza askari 1000.
Ila inakula zaidi Ukraine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji635]Russia nayo inapoteza wanajeshi, vita haiwezi kula upande mmoja tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapadri watasema ukreini wenyewe hawafiMasheikh watasema Russia wenyewe hawafi.
Umeona wapi?Na hapo ndio wamejitahidi kutoa idadi kiduchu, kiuhalisia wanajeshi wa Ukraine wako wanapukutika kwa idadi kubwa zaidi kama kumbikumbi
Sasa SI akubali yaishe TU Kama kweli anawajali watu wake..mwenye NGUVU mpishe
Nimeona hapa👇👇👇Umeona wapi?
Ona comments zilizo kwenye hiyo video ya library.Nimeona hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
Sasa hizo comments za Zelensky na shoga zake mie zinanihusu nini?!Ona comments zilizo kwenye hiyo video ya library.View attachment 2247482
Mashoga watasema Russia wanakufaMasheikh watasema Russia wenyewe hawafi.
Baada ya vita wanaume hupungua sana lama ilivyokuwa ujerumani, na urusi Baada ya sasa itakuwa Iraq, na sasa UkraineRaisi Zelensky usiku wakuamkia leo Amesema nchi yake inapoteza wanajeshi 60-100 kila siku kwenye mapambano yanayoendelea nchini kwake.
Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha television Cha NEWSMAX TV CHANNEL kuhusiana na Hali ya Vita mashariki mwa Ukraine.
Zelensky alisisitiza kwamba Hali ni mbaya Sana hasa kusini mwa donesk na luhansk japo wanajitahidi kuzuia sana mashambulizi ya Russia kadri ya uwezo wao.
==========
In an interview with Newsmax TV Channel, President Volodymyr Zelensky said the situation in the east of Ukraine and southern Donetsk and Luhansk remains the most tense.
“We’re losing 60-100 soldiers per day killed in action and around 500 people wounded in action. So we are holding our defensive perimeters,” Zelensky said, adding that Ukraine and her people are the “defensive perimeter” for the world.
View attachment 2246794
Source: Kyiv Independent
Wanakufa hadi 200 kwa siku na 800 wanakuwa walemavu wa maisha awawezi tena kupigana ni sawasawa na 1000 kwa siku tayarihao bado wachache inatakiwa ifike buku per day.
mi nataka kisowepo na vilema wa kuleta rawama dawa ni kuua wote, hakuna kukubali surrender.Wanakufa hadi 200 kwa siku na 800 wanakuwa walemavu wa maisha awawezi tena kupigana ni sawasawa na 1000 kwa siku tayari