Zembwela Amkumbuka Magufuli, Asikitika namna serikali ya sasa inavyoibiwa kizembe

Zembwela Amkumbuka Magufuli, Asikitika namna serikali ya sasa inavyoibiwa kizembe

Hataki buyu la asali huyu kutoka kwa mama Abdul?
 
Chawa Ni Chawa Tu Hawa Hawa Waliokwenda Dubai Kuitetea DP World
 
Ataomba msamaha in a day or two kwa maelekezo toka juu.
 
Huyu Zembwela hua yuko real sana... ni vile tayari yupo kwenye ajira inayomtaka kusema ndio kwa kila kitu. Lakini kila ukimfatilia yupo no sana....
Yap sio mnafiki sana kama wenzake
 
Zembwele anaona akina kitenge na Hando wanafaidi tu kila siku yeye hapati chochote hivyo kaamua kuchoma nyumba.
 
Back
Top Bottom