Bado kijana mdogo sana hela ya kunyoa kipara itatoka wapi..?😂😂Ameanza kuchoka.
Huyu Zembwela hua yuko real sana... ni vile tayari yupo kwenye ajira inayomtaka kusema ndio kwa kila kitu. Lakini kila ukimfatilia yupo no sana...."Siku moja mtanikumbuka, na mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"
"Nimetoa maisha yangu kwaajili ya Watanzania, msifikiri mafisadi wanapenda"
View: https://youtu.be/NaJCiQydU6U?si=i3Ux3On5vuQwMpuw
Ni chawa wa kwenye kitengeZembela ni nani Mkuu?
Ni chawa wa kwenye kitengeZembela ni nani Mkuu?
Acha ubwege kamfuate km umemkumbuka"Siku moja mtanikumbuka, na mtanikumbuka kwa mazuri si mabaya"
"Nimetoa maisha yangu kwaajili ya Watanzania, msifikiri mafisadi wanapenda"
View: https://youtu.be/NaJCiQydU6U?si=i3Ux3On5vuQwMpuw