Kumpiga BAN Matola ni sawa na kumfunika
Nyuki kwa Tenga...atatoka tu
mkuu mbona kama uko bias...tunacho ongea nikuhusu watangazaji wasio na uwelewa wa kujadili hoja ki undani kwa umakini zembwela ni mropokaji nikama anaigiza tu hadi kwenye vitu serious.kusoma sio kigezo cha kutangaza vizuri kuna watu hwajasoma hiyo fan ila wanauwelewa mfano sebo yeye ni professional tofauti ila anauwelewa mkubwa.SAMAHANI LAKINIWEWE kuwa na degree sio kigezo tosha cha kukufanya wewe upate kazi. Labd east afrika katika Kuwafanyia Mahojiano Walikuona hauna mvuto wa utangazaj ingawa ulikuwa na degree, Labda Muda Huo ulioenda kuomba kaz walikua hawaitaj mtu mwenye elimu ya degree, Pia unaweza ukawa na degree usiwe na uzoefu, angali yule DULLA wa planet BONGO alikua na umaarufu gani ? na elimu yake mbona ilikua ndogo sana ukilinganisha na yule alan laki wa skonga, Ndo athari za elimu za kiafrika kukalili mambo ya darasani mpaka mambo ya mtaan , yaan wewe unafikiri ukiwa tu na degree ya mass comminication hata kama first class bas umepata kazi, Afu kwa taarifa yako nyie Wasomi Weng ndo mmekua mkiharibu hii nchi kwasababu ya kukalili, JE, WEWE UNAUJASIR WA KUTANGAZA KAMA ZEMBWELA NA HIYO DEGREE ?
mkuu mbona kama uko bias...tunacho ongea nikuhusu watangazaji wasio na uwelewa wa kujadili hoja ki undani kwa umakini zembwela ni mropokaji nikama anaigiza tu hadi kwenye vitu serious.kusoma sio kigezo cha kutangaza vizuri kuna watu hwajasoma hiyo fan ila wanauwelewa mfano sebo yeye ni professional tofauti ila anauwelewa mkubwa.SAMAHANI LAKINI
kwi kwi kwi kwi kwi du yan huyo ndo ananichefuaga mtu makini hawezi fanya ujinga huo. halaf huwa nawashangaa itv. ina maana hawaoni kama ni upuuzi na utoto anafanya. khaaaaaaaSiwezi kukushangaa maana hata yule ni mimiiiiii Goergeeeeeeeeee Maratooooooooooo wa Itveeeeeeeeeeeeeeeee, Musomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Naye ana mashabiki wake wanaopenda style yake ya kijinga anavyoripoti.
kwi kwi kwi kwi kwi du yan huyo ndo ananichefuaga mtu makini hawezi fanya ujinga huo. halaf huwa nawashangaa itv. ina maana hawaoni kama ni upuuzi na utoto anafanya. khaaaaaaa
Hao tunawaita waimbaji akija kwenye onyesho anakwambia,weka cd niimbe!..
@ final Matola is Free...
Haya kabadili pedi hiyo kisha ndo uje hapa.
------ linamuwasha huyo...
Sasa ntaahirisha mfungo kisha nimkune.
Zembwela aunganishwe kwenye kundi la Comedy pamoja na kina Bambo kule ndiyo kwenye Talent yake, tusipende kulazimisha fani.
Mtu anaropoka tu mwanzo mpaka mwisho wa kipindi halafu panatokea watu hapa eti mnamsifia!! labda ninyi ni Waswazi wenzake ndio maana anawakonga nyoyo, kwangu mimi Zembwela ni useless.
Sintoshangaa wengine nikisikia mnapendekeza awe Mbunge maana anasema ukweli, kama ukweli huwa unaongelewa bila logic na mpangilio basi Baadhi ya Watanzania wenzetu mna zaidi ya tatizo.
Siwezi kukushangaa maana hata yule ni mimiiiiii Goergeeeeeeeeee Maratooooooooooo wa Itveeeeeeeeeeeeeeeee, Musomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Naye ana mashabiki wake wanaopenda style yake ya kijinga anavyoripoti.
kwani lazima kusikiliza EA Fm?
Mimba changa zina tabia ya kuchukia watu bila sababu, ukifika mwezi wa nne-tano mambo yako yatakuwa shwari. Kuhamahama vituo sio kipimo cha ubora. Zembwela ndie mtangazaji bora wa vipindi vya asubuhi kwa sasa baada ya Regina Mwalekwa kuhamia wapi sijui. Wewe na shoga zako munaemtaja-taja munatuthibitishia kuwa huwa munamsikiliza. Endeleeni na moyo huo huo...Hivi ni kwa nini mnaendelea kusikiliza vipindi vinavyoongozwa na watu wapuuzi kama Zembwela, Kibonde, Hando, Shafi Dauda & likes?
Karibuni Wapo Radio Fm tuchambuwe mada motomoto kwenye meza ya busara na Sabinus Mbogo, jana nilisikiliza hicho kipindi cha Super Mix na niliapa kamwe sintosikiliza tena kipindi hicho kinachoongozwa na mtu mwehu asiye na akili ambaye anajihisi ni Genious kumbe kichwa maji matupu.
Kuna kijana alikuwa anatangaza na Zembwela jina nimemsahau na sasa amehama hapo East African radio, kwakweli huyu kijana alikuwa ni msaada mkubwa sana kwa Zembwela na alijitahidi sana kumshape lakini sasa hivi mambo ni shaghalabagala.
Imagine kijana wa miaka 30 eti anajiita Babu na badly analazimisha na yule binti anaetangaza naye aitwe Bibi, this is rubbish, i will never tune my radio kusikiliza upuuzi wa Zembwela.
Na ushahidi wa haya ninayoyasema Zembwela atafia EA radio au atafukuzwa muda wake ukifika lakini hana vigezo vya kuombwa na redio nyingine kuhamia kwao, wenye sifa hizo wanajulikana ni watu wa kariba ya Fredwaa aliyekuwaga Redio Free Africa.
Fistula inatibika, wahi mapema upate tiba kabla hujapata madhara zaidi, mabwana huwa hawatafutwi kwa style unayokuja nayo wewe, waulize makahaba wenzako wazoefu watakupa mbinu za kisayansi.Mimba changa zina tabia ya kuchukia watu bila sababu, ukifika mwezi wa nne-tano mambo yako yatakuwa shwari. Kuhamahama vituo sio kipimo cha ubora. Zembwela ndie mtangazaji bora wa vipindi vya asubuhi kwa sasa baada ya Regina Mwalekwa kuhamia wapi sijui. Wewe na shoga zako munaemtaja-taja munatuthibitishia kuwa huwa munamsikiliza. Endeleeni na moyo huo huo...