Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Usiende mbali sana Mkuu, waambie pesa haihitaji kelele wala attention. Ikiwepo mwenye nayo atakaa kimya, chawa ndio wataongea ongea hovyo.Watu mnadanganyana humu,huyo sijui Doto magari angekua na hizo pesa asingeshindwa kumpa mwanae just elfu 50 pekee ya matumizi kwa mwezi mpaka kaenda kudhalilishwa.
Mkuu utakuwa huyajui maisha ya wakufunzi wetu. Wengi wao maisha ni magumu sana ukilinganisha na baadhi ya vijana wanaopambana uraiani. Mshahara wa 2.7m kwa Mkufunzi msaidizi mpaka 5.5m kwa Profesa wa muda mrefu changanya na staili yao ya maisha wanatoboa lini? Mwijaku tu kawashinda wengi! Maisha ni mipangoSijajua kipimo chako cha maisha mazuri ni kipi ila nilipenda nikukaribishe Moro ucheki wa mzumbe maisha yao
Au udom pita wangalie udsm mbali sana
Inawezekana ukiamuangalia prof wenu wa kansani mpiga kinanda unahis wote wanaishi vile
Huyu zembwela na manara mitandao tu
PhD holders wanadhalilikaMkuu utakuwa huyajui maisha ya wakufunzi wetu. Wengi wao maisha ni magumu sana ukilinganisha na baadhi ya vijana wanaopambana uraiani. Mshahara wa 2.7m kwa Mkufunzi msaidizi mpaka 5.5m kwa Profesa wa muda mrefu changanya na staili yao ya maisha wanatoboa lini? Mwijaku tu kawashinda wengi! Maisha ni mipango
Unazungumzia profesa ndumilakuwili niniPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Binafsi hilo spingi lakini swali ni je, hayo maisha ya watu maafuru ndo kiwe kipimo cha maproffesa wetu? Je waibe au wawe wasanii watelekeze taaluma zao ili wawe nambari moja kwa utajiri? Au sisi tunataka maisha yao yaweje yaan.Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Yaani Kwa Akili yako Manara ana maisha mazuri? Au unalinganisha na umasikini wako! Manara huyu huyu? Nchi hii bado ina wajinga wengi sanaPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
una maanisha unachosema ama una ushabiki wa Kisukuma?Mtoa mada unapaswa kujua kwamba hao akina manara, Zembwela sio kipimo cha mafanikio ya maprofesa.
Au umefanya tafiti kwingine dunian ukaona maprofesa wamefanikiwa kifedha kuliko watu wote wasio au wenye elimu ndogo?. Au hujui hata maraisi wenyewew wanazodiwa uchumi na wananchi wao je tuseme nawao hawajafanikiwa?.
Yeah!ninamaanisha, coz hilo la celebrity mmoja mmoja kuwa na uchumi mkubwa kuliko wasomi sio jambo la kushangaza.Maana hata kwenye ngaz ya famjlia tuu unawezakuta mtoto ambaye hakusoma katoboa kuliko ambao wamesoma.una maanisha unachosema ama una ushabiki wa Kisukuma?
Kwani unaenda kusomea hela?Yeah!ninamaanisha, coz hilo la celebrity mmoja mmoja kuwa na uchumi mkubwa kuliko wasomi sio jambo la kushangaza.Maana hata kwenye ngaz ya famjlia tuu unawezakuta mtoto ambaye hakusoma katoboa kuliko ambao wamesoma.
Huenda mwenzetu umeenda kusoma kujitolea.Kwani unaenda kusomea hela?
Ndo maanaa nmesema sio jambo la ajabu hilo linapotokeaKwani unaenda kusomea hela?