Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,439
- 5,612
Hahahaaa hapana haijatangazwa popote wanajamvi Bali ni Mimi mwenyewe nimeamua kuwaza kwa sauti!
Sio siri huyu Zembela nimejaribu kumfatilia kwenye kipindi cha super mix East African Radio pia kipindi cha uswazi pale EATV nimegundua jamaa anaupeo mkubwa wa kupambanua mambo pia ni jamaa aliekulia kitaa hivyo jiji la Dar es salaam analijua nje ndan na shida za watu wake!
Pliz nisieleweke tofauti labda nampigia debe Zembela la hasha nawaza tu,laiti ingekua mm mkulu ningempa jamaa ukuu wa mkoa wa Dar es salaam.
Karibuni wanajamvi tufikiri pamoja kwa sauti...
Sio siri huyu Zembela nimejaribu kumfatilia kwenye kipindi cha super mix East African Radio pia kipindi cha uswazi pale EATV nimegundua jamaa anaupeo mkubwa wa kupambanua mambo pia ni jamaa aliekulia kitaa hivyo jiji la Dar es salaam analijua nje ndan na shida za watu wake!
Pliz nisieleweke tofauti labda nampigia debe Zembela la hasha nawaza tu,laiti ingekua mm mkulu ningempa jamaa ukuu wa mkoa wa Dar es salaam.
Karibuni wanajamvi tufikiri pamoja kwa sauti...