Jeremiah Stephin
Senior Member
- Feb 6, 2014
- 118
- 124
Nimefanya application ya diploma in health training colleges
Tatizo linakuja kwenye kuweka matokeo ya advance..Matokeo yana onesha grade za ufaulu wangu bila kuonesha somo husika (yani wanaonesha tu C bila kuonesha C ni ya somo gani)
Tatizo hili ni kwangu tu au ni kwa wote???
Tatizo linakuja kwenye kuweka matokeo ya advance..Matokeo yana onesha grade za ufaulu wangu bila kuonesha somo husika (yani wanaonesha tu C bila kuonesha C ni ya somo gani)
Tatizo hili ni kwangu tu au ni kwa wote???