Zengwe zito uchaguzi TFF

Zengwe zito uchaguzi TFF

ndo nini ulichoandika asa na ww
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Wajumbe wamehongwa,
Kimsingi wanachofanya ni ili usaili uhairishwe ili ukifanyika siku ingine uweze kuwa -accommodate kina Malinzi,
PCCB wawadake hao wajumbe waeleze why wanataka kupindisha sheria,
bora wadakwe usiku huu kabla zengwe halijawa kubwa.Hawa wajumbe ni watiifu kwa malinzi
 
Wajumbe wamehongwa,
Kimsingi wanachofanya ni ili usaili uhairishwe ili ukifanyika siku ingine uweze kuwa -accommodate kina Malinzi,
PCCB wawadake hao wajumbe waeleze why wanataka kupindisha sheria,

TFF kunaweza kuwa na matatizo lakini hayaja anza leo,hata wakati wa Tenga mambo yalikuwa hivi hivi hasa wakati wa uchaguzi panajitokeza mizengwe ya ajabu sana, tatizo kuu ni ulaji sio kusaidia uendelezaji wa kandanda nchini, mambo mengi ni maigizo tu. Hivi tukijiuliza imekuwaje PCCB na vyombo vingine vya upelelezi ndiyo yanalivalia njuga suala la TFF at the eleventh hour miaka yote walikuwa wapi?

Mambo ya kuingiza fitna kwenye chombo kinacho simamia soka nchini siyo fresh hata kidogo - nguvu zote zinazotumika ni kutaka kumuengua Malinzi kwa nguvu hawataki agombee tena Uongozi kutokana na wivu tu, sasa Taasisi ya kuendeleza mpira Duniani/Afrika ambayo ndiyo ilitoa fedha za kuendeleza soka nchini ikija hapa na kusema wamefanya an independent uchunguzi na kugundua fedha zimetumika kihalali nyie au Wizara itasema nini kama hatutaonekana ni watu wa ajabu - nakumbuka miaka ya nyuma kuliwahi kutokea mizengwe za kumuengua jamaa fulani kwa fitina na uzushi mpaka taasisi ya kimataifa ya mpira ilipo ingilia kati ndiyo akaruhusiwa kugombea - ya Malinzi yanafuata mkondo huo huo.
 
TFF kunaweza kuwa na matatizo lakini hayaja anza leo,hata wakati wa Tenga mambo yalikuwa hivi hivi hasa wakati wa uchaguzi panajitokeza mizengwe ya ajabu sana, tatizo kuu ni ulaji sio kusaidia uendelezaji wa kandanda nchini, mambo mengi ni maigizo tu. Hivi tukijiuliza imekuwaje PCCB na vyombo vingine vya upelelezi ndiyo yanalivalia njuga suala la TFF at the eleventh hour miaka yote walikuwa wapi?

Mambo ya kuingiza fitna kwenye chombo kinacho simamia soka nchini siyo fresh hata kidogo - nguvu zote zinazotumika ni kutaka kumuengua Malinzi kwa nguvu hawataki agombee tena Uongozi kutokana na wivu tu, sasa Taasisi ya kuendeleza mpira Duniani/Afrika ambayo ndiyo ilitoa fedha za kuendeleza soka nchini ikija hapa na kusema wamefanya an independent uchunguzi na kugundua fedha zimetumika kihalali nyie au Wizara itasema nini kama hatutaonekana ni watu wa ajabu - nakumbuka miaka ya nyuma kuliwahi kutokea mizengwe za kumuengua jamaa fulani kwa fitina na uzushi mpaka taasisi ya kimataifa ya mpira ilipo ingilia kati ndiyo akaruhusiwa kugombea - ya Malinzi yanafuata mkondo huo huo.
lakini mkuu tunaambiwa hawa jamaa wamepiga mpaka fedha tulizochanga a kuwapeleka serengeti Gabon,pia kuna maswala ya kufoji.
 
Hivi tukijiuliza imekuwaje PCCB na vyombo vingine vya upelelezi ndiyo yanalivalia njuga suala la TFF at the eleventh hour 1) miaka yote walikuwa wapi?
Mambo ya kuingiza fitna kwenye chombo kinacho simamia soka nchini siyo fresh hata kidogo - 2) nguvu zote zinazotumika ni kutaka kumuengua Malinzi kwa nguvu hawataki agombee tena Uongozi kutokana na wivu tu, sasa 3)Taasisi ya kuendeleza mpira Duniani/Afrika ambayo ndiyo ilitoa fedha za kuendeleza soka nchini ikija hapa na kusema wamefanya an independent uchunguzi na kugundua fedha zimetumika kihalali nyie au Wizara itasema nini kama hatutaonekana ni watu wa ajabu - nakumbuka miaka ya nyuma kuliwahi kutokea mizengwe za kumuengua jamaa fulani kwa fitina na uzushi mpaka taasisi ya kimataifa ya mpira ilipo ingilia kati ndiyo akaruhusiwa kugombea - ya Malinzi yanafuata mkondo huo huo.
1) Kwani Maghufuli anahangaika sasa kujaribu kurekebisha kila kitu walichoharibu wenzie miaka yote walikua wapi??
2) kwa hiyo Mkuu huamini kama kapiga?? yaani PCCB waliomkamata na ushahidi upo unaupinga??
3) TFF haipokei fedha kutoka FIFA tu, kumbuka hata wadhamini wa ndani wanatoa pia fedha, na madudu ya kina Malinzi yaliibuliwa na TBL waliokua wadhamini wao baada ya kutuma auditors wao
 
ndugu amini usiamini hakuna uchaguzi ,naona kabisa hii tume ya uchaguzi TFF ilipangwa uwabebe akina Malinzi,inavyoonesha hawa wajumbe 4 kesho na wao watabandika matokeo yao ya usahili mbali na yale ya mwenyekiti
ngoja tusubiri tuone
 
lakini mkuu tunaambiwa hawa jamaa wamepiga mpaka fedha tulizochanga a kuwapeleka serengeti Gabon,pia kuna maswala ya kufoji.

Mkuu siyo kwamba namtetea Malizi na kundi lake, ninacho tilia shaka ni timing - kwa nini tuhuma hizi zijitokeze kwa kasi kubwa wakati wa maadalizi wa uchanguzi - kwa nini kipindi chote cha Uongozi wa Malizi watu walikuwa wamekaa kimya, sikuwahi kusikia kwamba Polis/Upelelezi au PCCB amekwenda kuhojiwa na taasisi hizo - WHY NOW? Kwa maneno mengine kwa nini wahibuke na tuhuma lukuki at the eleventh HOUR??

Iweje taasisi zetu zizinduke kutoka kwenye usingizi wa pono na kumkaba koo Malizi na kundi lake wakati wakiwa kwenye maadalizi ya uchaguzi, hii kama sio mizengwe tuiteje - tukiendelea kuendesha taasisi ya kuendeleza soka nchini kama vyama vya siasa basi Tanzania itabaki wasindikizaji wa mataifa mengine kimpira - Watanzania majungu, fitina na wivu vimetuzidi sana.
 
Mkuu siyo kwamba namtetea Malizi na kundi lake, ninacho tilia shaka ni timing - kwa nini tuhuma hizi zijitokeze kwa kasi kubwa wakati wa maadalizi wa uchanguzi - kwa nini kipindi chote cha Uongozi wa Malizi watu walikuwa wamekaa kimya, sikuwahi kusikia kwamba Polis/Upelelezi au PCCB amekwenda kuhojiwa na taasisi hizo - WHY NOW? Kwa maneno mengine kwa nini wahibuke na tuhuma lukuki at the eleventh HOUR??

Iweje taasisi zetu zizinduke kutoka kwenye usingizi wa pono na kumkaba koo Malizi na kundi lake wakati wakiwa kwenye maadalizi ya uchaguzi, hii kama sio mizengwe tuiteje - tukiendelea kuendesha taasisi ya kuendeleza soka nchini kama vyama vya siasa basi Tanzania itabaki wasindikizaji wa mataifa mengine kimpira - Watanzania majungu, fitina na wivu vimetuzidi sana.

interesting...
kama ni kweli, nani yuko behind hii kitu?
 
TFF kunaweza kuwa na matatizo lakini hayaja anza leo,hata wakati wa Tenga mambo yalikuwa hivi hivi hasa wakati wa uchaguzi panajitokeza mizengwe ya ajabu sana, tatizo kuu ni ulaji sio kusaidia uendelezaji wa kandanda nchini, mambo mengi ni maigizo tu. Hivi tukijiuliza imekuwaje PCCB na vyombo vingine vya upelelezi ndiyo yanalivalia njuga suala la TFF at the eleventh hour miaka yote walikuwa wapi?

Mambo ya kuingiza fitna kwenye chombo kinacho simamia soka nchini siyo fresh hata kidogo - nguvu zote zinazotumika ni kutaka kumuengua Malinzi kwa nguvu hawataki agombee tena Uongozi kutokana na wivu tu, sasa Taasisi ya kuendeleza mpira Duniani/Afrika ambayo ndiyo ilitoa fedha za kuendeleza soka nchini ikija hapa na kusema wamefanya an independent uchunguzi na kugundua fedha zimetumika kihalali nyie au Wizara itasema nini kama hatutaonekana ni watu wa ajabu - nakumbuka miaka ya nyuma kuliwahi kutokea mizengwe za kumuengua jamaa fulani kwa fitina na uzushi mpaka taasisi ya kimataifa ya mpira ilipo ingilia kati ndiyo akaruhusiwa kugombea - ya Malinzi yanafuata mkondo huo huo.
Kwahiyo mtu anafoji na kuiba pesa huku soka tunazidi kushuka kiwango wewe unaona sawa tu?nadhani wewe ulijui soka na hata huna uchungu nalo utakuwa mshabiki wa bongo flava huku sio kwako mkuu.
 
Mkuu siyo kwamba namtetea Malizi na kundi lake, ninacho tilia shaka ni timing - kwa nini tuhuma hizi zijitokeze kwa kasi kubwa wakati wa maadalizi wa uchanguzi - kwa nini kipindi chote cha Uongozi wa Malizi watu walikuwa wamekaa kimya, sikuwahi kusikia kwamba Polis/Upelelezi au PCCB amekwenda kuhojiwa na taasisi hizo - WHY NOW? Kwa maneno mengine kwa nini wahibuke na tuhuma lukuki at the eleventh HOUR??

Iweje taasisi zetu zizinduke kutoka kwenye usingizi wa pono na kumkaba koo Malizi na kundi lake wakati wakiwa kwenye maadalizi ya uchaguzi, hii kama sio mizengwe tuiteje - tukiendelea kuendesha taasisi ya kuendeleza soka nchini kama vyama vya siasa basi Tanzania itabaki wasindikizaji wa mataifa mengine kimpira - Watanzania majungu, fitina na wivu vimetuzidi sana.
Dah!! Jinai haina muda mkuu. Ni wakati wowote mshtaki akijiridhisha unakwenda
 
Back
Top Bottom