Zero IQ ni mtu muelewa sana ila anapenda nini kingine zaidi ya ngono?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nacheka kwa dharau kama ata ID ya Suriya hauijui ni ya mwaka gani?

Pia tofautisha ata miandiko tu kama kweli we ni great thinker na sio popoma kama GENTAMYCINE(jokes)

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani Wewe huna taarifa kwamba ' ID's ' zote za hapa JamiiForums ni zangu Mimi GENTAMYCINE kwa mujibu wa ' Members ' wengi hapa Jamvini / Jukwaani?
 
Chips
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…