Zero IQ nimekosea wapi mwaka Huu

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Zero IQ nimekosea wapi mwaka huu naomba unichane hapa ili nione makosa yangu na nibadilike ikibidi mwaka mwingine ukianza.
 
Hujakosea popote wapoti.....wewe ni kiongozi wa malaika
 
Hujakosea popote wapoti.....wewe ni kiongozi wa malaika
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Unataka kusema nina undugu na jiwe
 
Unakula mademu wa huko mtaani na wa hapa JF kwa mpigo,wewe unaona ni sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…