Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah! inatisha m'baba..Avatar imekuwa ya kiintelijensia zaidi inawaogopesha nini?
Umesema utabadilika "mwaka mwingine" ukianza ila hujaweka wazi ni mwaka upi? coz miaka hubadilika kila baada ya miezi 12.Tayari mkuu edited nimekosea wapi pengine?
Mi ntumie number tu za machangu hapo nitashukuru mende mwenzanguZero IQ nimekosea wapi mwaka huu naomba unichane hapa ili nione makosa yangu na nibadilike ikibidi mwaka mwingine ukianza.
Zero IQ nimekosea wapi mwaka huu naomba unichane hapa ili nione makosa yangu na nibadilike ikibidi mwaka mwingine ukianza.
Nitake Radhi mkuu mimi ndio nilikuwa muumini mkubwa wa kupiga marufuku kutumia mtandao pendwa wa tigo mwaka huu ila wewe mkuu Genta na Gudume ndio watumiaji wakubwa sana.Ulitumia sana Tigo kwa ama Kupiga au Kupigiwa na ukasahau Vodacom, Airtel na TTCL.
Nitake Radhi mkuu mimi ndio nilikuwa muumini mkubwa wa kupiga marufuku kutumia mtandao pendwa wa tigo mwaka huu ila wewe mkuu Genta na Gudume ndio watumiaji wakubwa sana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Bila shaka nimeipokea salamu yako mkuu
Vocha za tigo zipo ila kila nilipotaka kujaribu kuzikwangua ili niingize Roho ilikuwa inasita na kuniambia tumia tu mtandao wa voda,Tigo itakupeleka motoni.Hakuna Vocha zozote labda za ' Tigo ' ulizozibakisha kwa mwaka huu Mkuu?
Wivu kivipi?Wewe unaona kuwala kwa mpigo ni sawa mkuu??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] huo ni wivu sasa mkuu
Basi sawa!Ni sawa kwa sababu natumie dushe langu mkuu sio la mkopo.