ZEZETA imedhihirisha Rayvanny anabebwa na MISIFA tu na KISMATI. Ni ngoma mbovu balaa

we mchawi mkuu

kwani anashindana na harmonise?

au yuko mwanamuziki huyo tu, sikiliza wengine

au una mkataba nae? ushamlipa kutoa nyimbo?
Sijazungumzia mashindano( ingawa yapo hata kama unalazimisha iwe vinginevyo, biashara siku zote ni ushindani ) hapa mimi ninajaribu kuzungumzia SERIOUSNESS iliyopo, kumbuka sisi ndio wateja na ndio wenye masikio ya kusikia ubora wa bidhaa husika
 
Mimi ni mshabiki mkubwa sana wa WCB ila jamaa sifa anazopewa ameshindwa kuzitendea haki kabisa, yaani tangu atoe KWETU kama serious project ndo basi tena hakuna jipya tena
 
Iv nyie watu mnaowah kuanzisha thread za namna kuponda tu wakati mtu anakuzid maisha na kila kitu ndo kusema mnatafuta views JF ambazo hata haziingiz hela mwenzenu huko utube mshamchangia pesa, ujinga sana huu
 
Iv nyie watu mnaowah kuanzisha thread za namna kuponda tu wakati mtu anakuzid maisha na kila kitu ndo kusema mnatafuta views JF ambazo hata haziingiz hela mwenzenu huko utube mshamchangia pesa, ujinga sana huu
Sasa anaingizaje hela kama wateja hawajapenda bidhaa yake ?

- Wafanyabiashara wengine wanakuwaga na Customer care, sasa Hao wasanii wanayo au akitoa tu bidhaa watu wanunue tu hata kama ni mbovu. Come On...
 
dogo nae anatoaga nyimbo ambazo hazina mashiko sasa kama sugu mbeleko natafuta kiki na hii.zezeta hakuna jipya harmonize Kali Anglia hizi nyimbo mbili ambazo so official ila kali
 
Binafsi namkubali sana Raymond ila kiukweli nyimbo zake za hivi karibuni kama sizielewi vile!
Hii ya zezeta ndio ameniacha kabisa,ila napenda sana freestyle yake!
Yupo njema sana
 
Naunga mkono maoni ya wadau wengine kwamba dogo amekuwa too overrated kushinda uwezo wake. Kiukweli serious project aliyoifanya hadi sasa ni KWETU, ule Sugu ni takataka na Natafuta kiki asingekuwa WCB ungewekwa kapuni. Kuhusu huu wimbo mpya niweke akiba ya maneno niupe muda. Ila naona sio naona kama angalau amekuwa siriaz kuliko hizo nyingine nilizozitaja
 
Binafsi namkubali sana Raymond ila kiukweli nyimbo zake za hivi karibuni kama sizielewi vile!
Hii ya zezeta ndio ameniacha kabisa,ila napenda sana freestyle yake!
Yupo njema sana
Jamaa anajua lakini mwenendo wake wa utoaji wa ngoma unasikitisha, kama ana ngoma 5 kichwa cha kutunga kimeshachoka atafikisha hata ngoma 10 kali kweli ?
 
Kweli huyu jamaa hajatoa nyimbo ya maana zote mbovuuu
KWETU, NATAFUTA KIKI, PENZI, SHIKWAMBI na MBELEKO ni nzuri ila yeye ukitoa KWETU na NATAFUTA KIKI naona kazifanya kama bonus tracks wakati ndo ngoma kali
 
Mwenyewe wimbo wa zezeta sijauelewa. Unakaa na melody kama wimbo wa yamoto.

Harmonize kwel kafululiza kutoa nyimbo nzuri. Kama ya birthday inapigwa kweli mitaani
 
Mwenyewe wimbo wa zezeta sijauelewa. Unakaa na melody kama wimbo wa yamoto.

Harmonize kwel kafululiza kutoa nyimbo nzuri. Kama ya birthday inapigwa kweli mitaani
Sure
 
Ushamuongezea viewers, mana ilinibd nikauangalie U-tube na nishasubscribe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…