Wala hilo siyo tatizo, ila tatizo ni kwamba anakatisha tamaa mashabiki wake - mtu akishakuwa disappointed hata siku akisikia una project mpya anapuuza anajua utampotezea tu mudaUshamuongezea viewers, mana ilinibd nikauangalie U-tube na nishasubscribe.
Exactly. Na hapo inashangaza maana kama hata nyimbo 10 hajafikisha utunzi umekuwa hiyo je atamudu nyimbo kali hata 10 kweliRayvanny anajua sana kuimba sanaaa....!!! kwa fikra zangu zinitumavyo atakua bonge moja la msanii Africa,, kama tu., ataendelea tu kutunga tungo zenye hadhi kama wimbo wa SALOME ,,, Kwa ule utunzi asee alitisha ( Mond mwenyewe alikaa) ., Ni nyimbo ya mapenzi lkn bado cjaona nyimbo yeyote inayofkia utunzi ule,, aliimba pafupi lkn tung zile zimesimama utadhan kaimba nyimbo nzima...!!
Kipaji cha utunzi na kuimba anacho tena kikubwa..,, Aaache kutunga pumba ka huu wimbo wa ZEZETA,, Hapo kafeli siwez kua mnafki..!!
hahhahaha umenifanya nicheke mkuuMimi na shabiki au na mashabiki nao wanatakiwa kuimba siku hizi
Kazi unayo harmonize weye loh sio kwa hasira hizoHabari wadau wa Celebrities !!.
Leo nataka nimzumgumzie huyu msanii ambaye amekuwa akipewa sifa nyiiingi kwamba ana uwezo mkubwa, kwa kumsikiliza leo Ngoma zake zote ukiacha KWETU ni mbovu balaa.
1. SUGU ( Mbovu), ZEZETA ( Mbovu ), & SALOME ( Umeshirikishwa umeimba MATUSI balaa ). Somehow PENZI, SHIKWAMBI na MBELEKO ni ngoma nzuri japo hujazitoa serious.
- Mbona mwenzio HARMONIZE kila akitoa ni NGOMA Kali na ni mtu yuko serious sana ukiona kazi zake
2. AIYOLA, INDE, BADO, NIAMBIE, PENZI, KIDONDA CHANGU, SHOW ME & HAPPY BIRTHDAY - Ngoma zote "HITS"
- Rayvanny kuwa serious tumekuchoka, kwanza huo wimbo wako wa ZEZETA ni mbovu na MELODY utafikiri umetungiwa na BEKA wa YAMOTO BAND, Ngoma mbovu - umebakiza SIFA na MBWEMBWE tu.
Fanya kazi, Sifa unazopewa zimekuharibu. Hauko SERIOUS na unatunga NGOMA Mbaya balaa, Ulivyotoa NATAFUTA KIKI kama ngoma ya ZIMA MOTO ikahit ni kama imekuwa trend sasa ya kufanya ngoma kwa zimamoto. Shiit