Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Kwa hiyo jamaa alikuwa kama ndege inayotaka kutua kwenye runway ambayo iko busy, wakawa wanamwambia zunguka zunguka angani kwanza huku mwingine akapelekwa Tanga.
 
Nikiunganisha hii kitu na story ya juzi ya CDF mstaafu ndio ninapata picha hizi:
1. Mzee alikata moto mapema sana ila tulifichwa kimakusudi.
2. Kulikuwa na internal struggle za kukichukua kiti cha urais kinyume na katiba.
3. Mama yetu alikuwa anyang'anywe tonge mdomoni na wajanja wa CCM.
4. Huenda PM na Speaker ndio walikuwa vinara wa kuchonga barabara ya kukikamata kile kiti kiulaini.

Lishukuriwe jeshi kwa kujizuia kuingia tamaa, upongweze JK kwa kucheza karata zake vyema za kikuda, apigiwe makofi Lissu kwa kukubali kutumbua jipu na alaumiwe Jiwe kwa kugeuza nchi yetu kuwa ni mali yake na genge lake.
 
wapangwa wanataka kumfanya nini PM wetu, watulie mambo yakae sawa..atarudi tu huko
 
Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.

Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.

Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.

Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.

Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.

Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?

Audit report
 
Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.

Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.

Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.

Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.

Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.

Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Tarehe hizi ndio mambo yalikuwa hayaeleweki.
 
Tarehe hizi ndio mambo yalikuwa hayaeleweki.
Kipindi kile nyakati kama hizi taifa lipo kwenye taharuki , moja haikai mbili haisomi!
Ila tunamshukuru Mungu tulivuka japo kwa gharama kubwa.
 
Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.

Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.

Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.

Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.

Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.

Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Kipindi hiko anakuwa fixed 😂😂
 
Back
Top Bottom