Ziara Rais Samia zinavyotumika kuhalalisha upigaji

Punguza usinichi mkuu. Fanya yanayokuhusu......... Mengine temana nayo.



Tutakutimbia na kluza huko ziwani, Kaa mbali.
Yaani fedha za Watanzania zinatumika vibaya wewe na kibyongo chako unaita usinichi?
 
Unauhakika kuwa ww ni mwandishi wa habar?
Acha kutungua story mm npo hapa hayo unayasema ni uongo mtupu

sema tu umeumizwa na nyomi la watu kwenye ziara ya Mh. Rais wetu mpendwa Dr Samia Suluhu Hassan
Hata panaposemwa hupajui Ila Uchawa unakusumbua. Acha TAKUKURU wafanye kazi uongo wangu utadhihirika.
 
Nchi ya kitu kidogo, nchi ya watu wadogo.
 
Wana siasa wote dugu moja. Wamekubaliana kula urefu wa kamba zao. Sisi tulipe kodi wao wale kwa urefu wa kamba zao πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ 😎 😎 😎 😎
Kodi yenyewe leo umelipa sh ngapi mkuu
 
Kodi yenyewe leo umelipa sh ngapi mkuu
Nimekunywa kahawa vikombe viwili kwa sh elfu 12. Nina risiti ya kielectronik. Kodi nyingine kubwa nalipa tarehe 20. Halafu mje kulialia haitoshi sababu ya kupigapiga misele na kula na kula
 
unajua tz yetu ni nchi ya ajabu sana,na ina watu wa ajabu sana,maisha yao wameyaingiza kwenye ushabiki as if kama majuha,maisha ni magumu,watu wanauliwa ovyo,watu wanapanga sheria kandamizi juu yao na watoto wao bado wanawashangilia tu
anyway ngoja tuendelee kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…