Ziara ya Baba Mtakatifu Yohane Paulo II, Moshi iliniliza

Ziara ya Baba Mtakatifu Yohane Paulo II, Moshi iliniliza

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,358
Reaction score
10,976
Tarehe 5 September, 1990 Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili (II) na Rais wa Vatican alitembelea Jimbo Kuu Katoliki la Moshi. Hakika ndugu waumini (nikiwemo) tulibubujikwa na machozi ya furaha.

Ni wakati sasa Baba Mtakatifu Francis atembelee tena Jimbo Kuu na Kanisa Kuu la KRISTO MFALME kuona maendeleo yaliyofanyika Jimbo Kuu.
 
Sasa huyo papa akija wewe unanufaika vipi financially? tuanzie hapo
Kwanza, dunia ilitambua KIlimanjaro ilipo na ukubwa wa Kanisa Katoliki kule.

Pili, wafanyabiashara Moshi waliuza bidhaa nyingi kutokana na ujio wa Baba Mtakatifu.
 
Kwanza, dunia ilitambua KIlimanjaro ilipo na ukubwa wa Kanisa Katoliki kule.

Pili, wafanyabiashara Moshi waliuza bidhaa nyingi kutokana na ujio wa Baba Mtakatifu.
Na ww ulikuwa miongoni ya wafanya biashara?
 
Hivi Baba Mtakatifu si ni Mungu aliepo juu mbinguni au kuna mwingine tena?
 
Tarehe 5 September, 1990 Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili (II) na Rais wa Vatican alitembelea Jimbo Kuu Katoliki la Moshi. Hakika ndugu waumini (nikiwemo) tulibubujikwa na machozi ya furaha.

Ni wakati sasa Baba Mtakatifu Francis atembelee tena Jimbo Kuu na Kanisa Kuu la KRISTO MFALME kuona maendeleo yaliyofanyika Jimbo Kuu.

Daaaaah.... Kweli vilaza hawaishi Duniani.
 
Back
Top Bottom