PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Che Guevara[John the Baptist] alifika Kigoma with 100 Cuban Revolutinaries. Lakini alisikitika sana kuona kwamba Waaafrika hawana mwamko wa kisiasa,akaondoka. Alikuja kwa madhumuni ya Kwenda Kongo. Halafu akaenda Bolivia,akauawa,akakatwa kichwa. Alipokuwa Dar es Salaam,nasikia favourite restaurent yake ilikuwa ni Zahir Hotel. Hii Zahir Hotel sijui kama bado ipo. Nimewahi kwenda pale siku moja kula biriyani.
Mkuu Ritz nijuze ilipo hii hotel ili nikapate msosi pale may be naweza kuotea na kukaa the same area ambayo Comrade Che Guevara alikaa....hata nikikosea eneo sio issue as far as i believe entrance haijabadilika.Zahir Hotel bado ipo.
Alikwenda kongo kupitia Tanganyika ilibidi arudi zake cuba bila kufanikisha kilichomleta kwa sababu wakongoman kama walivyo watanzania wa leo walipenda kufanya ngono zaidi kuliko kupigana na mkoloni.
Alikwenda kongo kupitia Tanganyika ilibidi arudi zake cuba bila kufanikisha kilichomleta kwa sababu wakongoman kama walivyo watanzania wa leo walipenda kufanya ngono zaidi kuliko kupigana na mkoloni.
ni kweli alishawahi kufika tanzania, katika wanamapinduzi waliomoyoni mwangu che guevara ni namba moja..... nina barua yake aliyokuwa anamuaga Fidel castro wa Cuba wakati anajitoakwenye Serikali ya Cuba kuelekea Congo kupitia hapa Tanzania , kwakweli Baba wa Taifa alikuwa jembe lisilokumbatia ukoloni na unyonyaji.