Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii

Ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt. Angelina Mabula na Naibu Waziri wake Mhe. Ridhiwani Kikwete watafanya ziara kwenye Mikoa ya Singida, Mwanza na Mara kuanzia tarehe 15 Machi 2022 hadi 19 Machi 2022

Hii ni kwa ajili ya kufanya shughuli 3 za Kukagua Mpango wa Matumizi ya Ardhi Bomba la Mafuta Mkoani Singida, Kukagua mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Mkoani Mwanza na Mara pamoja na Uimarishaji wa mpaka wa Tanzania na Kenya. Kazi Inaendelea Mkoani Mara.

#ArdhiYetu
#Siku365zaRaisSamia.

IMG-20220313-WA0041.jpg
 
Back
Top Bottom