Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

Ubaya ni kuwa wachina wana akili nyingi kushinda wewe na wame experience mambo mengi katika historia yao kushinda wewe na wana viongozi wanaojitambua na kuitambua China kushinda wewe.

Wewe hapo nikikuambia ufungue tu historia ya nyuma ya miaka 100 ya taifa lako sijui kama utaweza au hata taifa lako litakuwepo.

Kama unafikiri Taiwan ndio mgogoro mkubwa wa kwanza kwa wachina wenda ufahamu kuhusu pasua kichwa ya wa Mongol au hata Issues za Macau, Hongkong, Tibet, Xinjiang

Na pia sina hakika hata mgogoro wa Taiwan unaufahamu umekaaje kaaje.

Uzuri China wana viongozi sio wanasiasa. wanajua jana ya China leo ya China ipoje na kesho ya China inapaswa kuwaje
Hivi unafikiri ni rahisi kutoka huko mbali kuja kukamata kisiwa cha Taiwan kwa taifa changa LA Marekani? China imekuwa taifa zaidi ya miaka 3000, Marekani miaka 250. USA ana nguvu ya ziada. Unachoongea wewe hapo ni ndoto. China akijaribu tu kuvamia ndo utakuwa mwisho wake. Anawindwa usiku na mchana ajichanganye na issue ya Taiwan.
 
Hivi unafikiri ni rahisi kutoka huko mbali kuja kukamata kisiwa cha Taiwan kwa taifa changa LA Marekani? China imekuwa taifa zaidi ya miaka 3000, Marekani miaka 250. USA ana nguvu ya ziada. Unachoongea wewe hapo ndoto. China akijaribu tu kuvamia ndo utakuwa mwisho wake. Anawindwa usiku na mchana ajichanganye na issue ya Taiwan.
Marekani kakamata kisiwa cha Taiwan hii umeitoa wapi ? unaandika matamanio yako
 
China sio kwamba vita haviwezi mkuu. Amefocus kujenga uchumi wake
US anataka kuitumbukiza China vitani halafu watumie NATO kumsupport Taiwan, waidhoofishe China. VITA YA KIUCHUMI😎

Mtego huo.

Na hata China akiuwasha moto na Taiwani US hatopigana bali atahangaika yeye na wenzakw kutoa fedha kwa ajili ya Taiwan.
 
,kama huyo USA asingekuwa anamuogopa Mchina kuna haja gani ya kuushikilia mgogoro kati ya China na Taiwan?
Mgogoro huo USA anautumia kama kete sababu amefanya calculations zake aakajua kuwa ipo siku China atahatarisha nafasi yake ya ukitanja wa Dunia-hivyo anatumia Taiwan kama kete ili China asifanikiwe.
Sasa si ndio akili hiyo au?
 
Sasa si ndio akili hiyo au?
Anachokifanya USA kwa China dhidi ya Taiwan ndio hicho hicho alikitengeneza Ukraine dhidi ya Russia-but at the end mtego wowote unauweka pia wenzio nao wana akili ya kutegua.

Haya mambo huwa ni maswala ya muda,utakuwa mbabe na jueri but sio kwa kila mtu na kwa wakati wote.leo hii wote tumeshuhudia Russia amisha chukua 1/4 ya Ukraine nzima-yupo wapi huyo USA na Ulaya supporter wa Ukraine mpaka maeneo yanachukuliwa.
Muda utafika hiyo Taiwan itachukuliwa na huyo USA hata kuwa na cha kufanya.
 
USA ana hali ngumu sana,anaona kabisa nafasi yake ya ukiranja wa Dunia unaenda kumponyoka miaka sio mingi.
1.kijeshi-Urusi anamkalisha,China anampumlia.
2.Kiuchumi-China anampumlia na dunia inamtenga.

Na mbaya zaidi utawezaje kui control Russia ambayo inaongoza kwa resources kuliko Nchi yoyote Duniani??-ndio maana anahangaika UE na Russia wasipatane kamwe.utaanzaje ku control China ambayo ina watu wanao zalisha products zenye high quality kwa gharama nafuu???
 
USA ana hali ngumu sana,anaona kabisa nafasi yake ya ukiranja wa Dunia unaenda kumponyoka miaka sio mingi.
1.kijeshi-Urusi anamkalisha,China anampumlia.
2.Kiuchumi-China anampumlia na dunia inamtenga.

Na mbaya zaidi utawezaje kui control Russia ambayo inaongoza kwa resources kuliko Nchi yoyote Duniani??-ndio maana anahangaika UE na Russia wasipatane kamwe.utaanzaje ku control China ambayo ina watu wanao zalisha products zenye high quality kwa gharama nafuu???
US hakuna wakumnyang'anya ukiranja
 
By the way wachina wana mission 2025, 2035 na 2049 kasome hizo mission ujue wachina nini wanataka hapa duniani.
Sawa wana mission, je Marekani atabaki bila kuwa na mission za kuendelea zaidi ya hapa alipo?
 
Hizi nchi tajiri vikao vyao ni namna ya kugawana resources za nchi maskini...
Wanakuchanganya tu hawana ugomvi wowote...
DRC nani?
USA: Nipeni mimi hapo
China: Mimi nitawauzia waasi silaha
TZ nani?
USA: pale tugawane wote,
Zambia nani?
USA: China utamalizana nao
RUSSIA: Mimi naomba niwachukue hawa waliopindua uongozi.
n.k ndio huwa mada zao hizo
100% truly.
 
Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe.

Wote tulifuatilia msafari wa bi Perosi. Ndege, meli za kivita zilikuwa zimeizunguka Taiwan, lakini Yule Bibi akaingia na kutoka kwa ujasiri na kejeli kubwa. Mchina aliishia kurusha mabomu baharini.

Marekani alikuwa anatufundisha kwamba MChina hana chochote kwake.

Taiwan bado imeshikiliwa na Marekani, wa China wanafanya drills miaka nenda rudi. Cha ajabu tunajizima data, HATUJIFUNZI.
MChina bado Sana, Sana, Sana. Ana miaka zaidi ya 200 na asipoangalia, hawezi kuitawala dunia.
Hakuna Mbwa wa kukoromea Marekani akiamua jambo lake.
 
Hizi nchi tajiri vikao vyao ni namna ya kugawana resources za nchi maskini...
Wanakuchanganya tu hawana ugomvi wowote...
DRC nani?
USA: Nipeni mimi hapo
China: Mimi nitawauzia waasi silaha
TZ nani?
USA: pale tugawane wote,
Zambia nani?
USA: China utamalizana nao
RUSSIA: Mimi naomba niwachukue hawa waliopindua uongozi.
n.k ndio huwa mada zao hizo
I hace said this Hundrends Times.

Hata NATO na Russia same scenario kwa China na USA they are more friends
 
Back
Top Bottom