Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Ka jamaa kanaongea utadhani kamewahi chungulia japo vichochoro vya pentagon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi unafikiri ni rahisi kutoka huko mbali kuja kukamata kisiwa cha Taiwan kwa taifa changa LA Marekani? China imekuwa taifa zaidi ya miaka 3000, Marekani miaka 250. USA ana nguvu ya ziada. Unachoongea wewe hapo ni ndoto. China akijaribu tu kuvamia ndo utakuwa mwisho wake. Anawindwa usiku na mchana ajichanganye na issue ya Taiwan.
Huu ndio ukweli. Utaona vita yao ni ya maneno tu karne hadi karne.Hizi nchi tajiri vikao vyao ni namna ya kugawana resources za nchi maskini...
Wanakuchanganya tu hawana ugomvi wowote...
DRC nani?
USA: Nipeni mimi hapo
China: Mimi nitawauzia waasi silaha
TZ nani?
USA: pale tugawane wote,
Zambia nani?
USA: China utamalizana nao
RUSSIA: Mimi naomba niwachukue hawa waliopindua uongozi.
n.k ndio huwa mada zao hizo
Mchina mwenyewe kufika hapo ni sababu ya techs za US na Europe, mchina huyu mwenye watu wengi ambapo inabidi wale mpaka popo eti ndo avimbe na US?Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe.
Wote tulifuatilia msafari wa bi Perosi. Ndege, meli za kivita zilikuwa zimeizunguka Taiwan, lakini Yule Bibi akaingia na kutoka kwa ujasiri na kejeli kubwa. Mchina aliishia kurusha mabomu baharini.
Marekani alikuwa anatufundisha kwamba MChina hana chochote kwake.
Taiwan bado imeshikiliwa na Marekani, wa China wanafanya drills miaka nenda rudi. Cha ajabu tunajizima data, HATUJIFUNZI.
MChina bado Sana, Sana, Sana. Ana miaka zaidi ya 200 na asipoangalia, hawezi kuitawala dunia.
Hahaha....china hakuna vyakula watu wengiMchina mwenyewe kufika hapo ni sababu ya techs za US na Europe, mchina huyu mwenye watu wengi ambapo inabidi wale mpaka popo eti ndo avimbe na US?
Mchina kwa US bado sanaa.
MTanzania akishashiba makande yalilolala basi hapo ndunia nzima ataielezea kama ameiumba yeye kumbe hata mlo wa siku inayofuata hana uhakika nayoRaisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe.
Wote tulifuatilia msafari wa bi Perosi. Ndege, meli za kivita zilikuwa zimeizunguka Taiwan, lakini Yule Bibi akaingia na kutoka kwa ujasiri na kejeli kubwa. Mchina aliishia kurusha mabomu baharini.
Marekani alikuwa anatufundisha kwamba MChina hana chochote kwake.
Taiwan bado imeshikiliwa na Marekani, wa China wanafanya drills miaka nenda rudi. Cha ajabu tunajizima data, HATUJIFUNZI.
MChina bado Sana, Sana, Sana. Ana miaka zaidi ya 200 na asipoangalia, hawezi kuitawala dunia.
Hoja yako ni ipi? Binafsi sijaielewa?,kama huyo USA asingekuwa anamuogopa Mchina kuna haja gani ya kuushikilia mgogoro kati ya China na Taiwan?
Mgogoro huo USA anautumia kama kete sababu amefanya calculations zake aakajua kuwa ipo siku China atahatarisha nafasi yake ya ukitanja wa Dunia-hivyo anatumia Taiwan kama kete ili China asifanikiwe.
Muda huo CIA nao wamelala usingizi mzito?Uzuri ni kuwa wachina wana akili nyingi sana kushinda wewe, wenda kushinda viongozi wako hata wamarekani.
Usifikiri Xi Jinping ana akili kama zako au kama za wamarekani.
Na nina hakika wachina wangekuwa hata na nusu ya akili zako China isingefikisha zaidi ya miaka 5000 mpaka leo ingekuwa imeparanganyika.
Na hilo tukio la Nancy Pelosi wangefanya maamuzi ya mihemko ya hovyo ambayo hayafai.
Kuwa kiongozi China sio rahisi kama kuwa kiongozi katika nchi yako kwamba mtu mjinga yoyote anaweza pewa madaraka ya kuongoza taifa.
Issue ya Taiwan ni issue sensitive sana kwa wachina kuliko unavyo fikiri na ni issue muhimu sana kwa wa marekani unahitaji viongozi wenye akili sio wanasiasa walio jaa mihemko.
Nakukumbusha China ni taifa kubwa sana linalo pambana na marekani katika kila nyanja unaoijua wewe hapa duniani, changanya za kwako halafu jiulize ule uamuzi wa China ni sahihi au si sahihi.
By the way wachina wana mission 2025, 2035 na 2049 kasome hizo mission ujue wachina nini wanataka hapa duniani.
Mpaka kufika 2049 nina uhakika wa 100% issue ya Taiwan itakuwa solved let's wait and see.
Eti NATO ndio wanatoa ruhusa ya Ukraine kuipiga Moscow....huu si utoto, yaani unapigana vita alafu unaambiwa usipige paleHuu ndio ukweli. Utaona vita yao ni ya maneno tu karne hadi karne.
Wajinga sisi tumebaki kushabikia tu.
Nani kakwambia Taiwan inashikiliwa na USA!?Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe.
Wote tulifuatilia msafari wa bi Perosi. Ndege, meli za kivita zilikuwa zimeizunguka Taiwan, lakini Yule Bibi akaingia na kutoka kwa ujasiri na kejeli kubwa. Mchina aliishia kurusha mabomu baharini.
Marekani alikuwa anatufundisha kwamba MChina hana chochote kwake.
Taiwan bado imeshikiliwa na Marekani, wa China wanafanya drills miaka nenda rudi. Cha ajabu tunajizima data, HATUJIFUNZI.
MChina bado Sana, Sana, Sana. Ana miaka zaidi ya 200 na asipoangalia, hawezi kuitawala dunia.
Mbona alifakamia visiwa vya Phillipines na USA hajafanya kitu?Hivi unafikiri ni rahisi kutoka huko mbali kuja kukamata kisiwa cha Taiwan kwa taifa changa LA Marekani? China imekuwa taifa zaidi ya miaka 3000, Marekani miaka 250. USA ana nguvu ya ziada. Unachoongea wewe hapo ni ndoto. China akijaribu tu kuvamia ndo utakuwa mwisho wake. Anawindwa usiku na mchana ajichanganye na issue ya Taiwan.
Mbona unaropoka kijana!?Mchina mwenyewe kufika hapo ni sababu ya techs za US na Europe, mchina huyu mwenye watu wengi ambapo inabidi wale mpaka popo eti ndo avimbe na US?
Mchina kwa US bado sanaa.
China wana vyakula vingi wanazalisha mara mbili ya vyakula inavyozalisha bara lako zima la Afrika.Hahaha....china hakuna vyakula watu wengi
Kisa cha kula nyoka na mijusi?China wana vyakula vingi wanazalisha mara mbili ya vyakula inavyozalisha bara lako zima la Afrika.
Watu wanaokula Kenge unataka kuniambia wana ng'ombe nyingi kuliko Tanzania?China wana vyakula vingi wanazalisha mara mbili ya vyakula inavyozalisha bara lako zima la Afrika.
Hivyo ni vyakula vyao wanavyopendelea pia.Kisa cha kula nyoka na mijusi?
Wachina wanakula hadi mamba na chatu.Watu wanaokula Kenge unataka kuniambia wana ng'ombe nyingi kuliko Tanzania?
Anababaisha kama EDM skola.Uandishi wako ni changamoto sana, nimeacha kusoma baada ya kuona bi Perosi
Sina haja ya kubishana na mfia china kobaaz kama wewe mwenye uelewa wa hapa na pale tena wa kuokoteza tena uelewa wenyewa wa kimaamuma.Mbona unaropoka kijana!?
Una uhakika China kufika pale ni kwa tech za USA na Ulaya!?
Hivi umefuatilia historia ya China kipindi cha INDUSTRIAL REVOLUTION miaka ya 1990s!?
Nahisi humu wengi HAMJUI ama WATOTO.
Yap kinyesi cha binaadam kwao mbolea!Hahaha....china hakuna vyakula watu wengi