Ziara ya Rais Samia Morogoro imefana sana, CHADEMA njooni mbomoe hii ngome ya CCM

Ziara ya Rais Samia Morogoro imefana sana, CHADEMA njooni mbomoe hii ngome ya CCM

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nimefuatilia ziara ya Mh Rais Samia katika mkoa wa morogoro kwa umakini hii ziara imefana na hii ni kutokana na hulka ya rais samia kutokuwa mtu wa makeke na kuharas watumishi wa uma ambao kwa hapo morogoro wanamuunga mkono sana.

Rai yangu kwa Chadema rais akindoka njooni Morogoro. Lissu aje Morogoro hasa maeneo ya vijijini akianzia kule Morogoro dc ambapo CCM hawajafanya kazi ya kutosha hasa barabara ya Bigwa - Kisaki.

Wananchi wa kule wanachukizwa na hii barabara na wanaona ccm ndio chanzo hivyo nawasihi chadema chama changu waende morogoro na waanzie vijijini.
 
Morogoro ni kati ya mikoa michache tanzania ambapo ccm bado ina nguvu.
 
Nimefuatilia ziara ya Mh Rais Samia katika mkoa wa morogoro kwa umakini hii ziara imefana na hii ni kutokana na hulka ya rais samia kutokuwa mtu wa makeke na kuharas watumishi wa uma ambao kwa hapo morogoro wanamuunga mkono sana.

Rai yangu kwa Chadema rais akindoka njooni Morogoro. Lissu aje Morogoro hasa maeneo ya vijijini akianzia kule Morogoro dc ambapo CCM hawajafanya kazi ya kutosha hasa barabara ya Bigwa - Kisaki.

Wananchi wa kule wanachukizwa na hii barabara na wanaona ccm ndio chanzo hivyo nawasihi chadema chama changu waende morogoro na waanzie vijijini.

Ndugu soma huu uzi, ukimaliza futa uzi wako.
 
Waluguru na ccm sawa na nnzi na usaha...
 
Back
Top Bottom