Ziara ya Rais Traole wa Burkina Faso italeta kichocheo kwa Watanzania cha kuchukia utawala wa kifisadi unaogawa rasilimali za Taifa kwa wageni?

Hamna kitu cha maana kwa huyo Traore wenu.
 
Inabidi traole amshauri mama kizimkazi apende uzalendo kwanza.Aache kutumika na mabeberu Kwa kuuza hovyo Mali za Tanganyika .
 
Aije akaja na kile kibastola chake wale wadada wa PSU watampiga bonge la tikitaka
 
UZALENDO MUHIMU
Hata waliopo hawapendi
Wanapambana kutokomeza Rushwa na Ufisadi
 
nimekwambia yupo kwa sababu hata hiyo hewa oxygen unayovuta ni ya kwake, kama wewe unabisha ndo useme oxygen ni ya nani.
 
nimekwambia yupo kwa sababu hata hiyo hewa oxygen unayovuta ni ya kwake, kama wewe unabisha ndo useme oxygen ni ya nani.
This logical fallacy is called non sequitur.

Thibitisha yupo, halafu thibitisha oxygen ni yake.

Kabla hujathibitisha yupo, usirukie kudai oxygen ni yake.
 
This logical fallacy is called non sequitur.

Thibitisha yupo, halafu thibitisha oxygen ni yake.

Kabla hujathibitisha yupo, usirukie kudai oxygen ni yake.
Naona unawapa za uso. Kwa kifupi hakuna ushahidi
 
kwa mtu aliyeuza nchi kwa waarabu, anapaswa kuona aibu hata kuangaliana usoni na huyo jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…