Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza

Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza

Na wana mpango wa kuhold bei hivyo hivyo mpaka February 😅 ili kule ikipanda waendelee nayo 😂!

Cha ajabu bei ikipanda sokoni changes ni instant wala hawasubirii mzigo uishe unaanza kuuzwa bei juu hapo hapo😅 hata kama ulinunuliwa bei chini!

Ila bei ikishuka sokoni wana hold bei ya awali mpaka mzigo uishe.
Jamaa wamekikamata chama haku kitu kitatokea ni mwendo wa manyanyaso mpaka mwisho
 
Mbona bei kwenye soko la dunia inazidi kushuka lakini Tz inapanda?
Bei haishuki angalia trend bei zilikuwa chini wakati wa corona je uliona diesel imeshuka chini ya 2000? leo brent karibia 70$ pipa wakati wa corona ilifika 35$ na wametoa forecast mafuta 2022 yatafika 120$ na 2023 150$.
 
Bei haishuki angalia trend bei zilikuwa chini wakati wa corona je uliona diesel imeshuka chini ya 2000? leo brent karibia 70$ pipa wakati wa corona ilifika 35$ na wametoa forecast mafuta 2022 yatafika 120$ na 2023 150$.
Kadanganye wajinga wenzako
 
Ficha ujinga wako. Jibu hoja kwani makamba hakutangaza bei ya mafuta kushuka mwezi 12?
Hakusema ziara yake nchi za emirates na Algeria zitaondoa middlemen katika uagizaji mafuta?

Acha siasa kwenye maisha ya watu ya watanzania. This government is failing kama haitaregulate mfumuko huu wa bei za vitu.

Wanasiasa wao wanaogelea kwenye michongo yao huku wakiyafanya maisha ya watanzania kuwa magumu.
We are people on the ground and we are the same people who feels this heavy weight of bureaucracy.
Nyie misukule ya magufuli mna chuki sana Makamba jr
 
Vyote anavyo dingi ako
A report written by Christyan Malek, J.P. Morgan's head of oil and gas research, said the price of oil could go up to $125 next year. The J.P. Morgan analysis was published on Nov. 29 and is predicting crude prices will average $88 per barrel in 2022 before “overshooting” to the $125 price point.2 days ago

Kama lugha inakupa shida tafuta mtu akusomee kwa lugha yako
 
Vyote anavyo dingi ako
Baba yako mimi namuheshimu na siwezi kumtukana maana hana kosa lolote wewe toa data tu na facts kama unazo hapa ni hoja tu matusi hayana nafasi. ukiona mtu anakimbilia mawe ujuwe anaelekea kushindwa
 
A report written by Christyan Malek, J.P. Morgan's head of oil and gas research, said the price of oil could go up to $125 next year. The J.P. Morgan analysis was published on Nov. 29 and is predicting crude prices will average $88 per barrel in 2022 before “overshooting” to the $125 price point.2 days ago

Kama lugha inakupa shida tafuta mtu akusomee kwa lugha yako
Kwa hiyo yanapanda Tz pekee ila Kenya, Uganda, Zambia, Zanzibar n.k ambako wanapitia bandari ya Dar wao wanachukulia mbinguni? achana na mawazo ya kujinga eti lugha hujui hata kama kuna google translate mpuuzi wewe
 
Baba yako mimi namuheshimu na siwezi kumtukana maana hana kosa lolote wewe toa data tu na facts kama unazo hapa ni hoja tu matusi hayana nafasi. ukiona mtu anakimbilia mawe ujuwe anaelekea kushindwa
Ulichoandika ni point?
 
Ndugu zangu,

Miezi ya hivi karibuni Waziri Makamba alitembelea nchi za ghuba zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ulimwenguni.Baada ya kurejea alituhakikishia kuwa mwezi Disemba mwaka huu mafuta yatashuka bei kwani kafaniiiwa kuwashawishi wazalishaji ili Tanzania kupitia TPDC inunue mafuta moja kwa moja kwa wazalishaj na sio kwa watu wa kati.Utaratibu huu ungepunguza bei ya mafuta.

Je, nini kinaendelea?ni kweli kuna makubaliano ya TPDC kununua mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji?
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Back
Top Bottom