Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Jamaa wamekikamata chama haku kitu kitatokea ni mwendo wa manyanyaso mpaka mwishoNa wana mpango wa kuhold bei hivyo hivyo mpaka February 😅 ili kule ikipanda waendelee nayo 😂!
Cha ajabu bei ikipanda sokoni changes ni instant wala hawasubirii mzigo uishe unaanza kuuzwa bei juu hapo hapo😅 hata kama ulinunuliwa bei chini!
Ila bei ikishuka sokoni wana hold bei ya awali mpaka mzigo uishe.